Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!! MGOGONipo naangalia msafala wa magari ya msiba ila boda boda dodoma washamba sanaa kushobokea camera kama hawajawahi kuiona mpaka kero
Wanaboa sanaa yaani hadi keroMkuu hata hawakusikii japo mi mwenyewe Nilikuw na wasiwasi wa ajari
Police wakifanya kazi yao wataanza kulalamika ningekua mim ningewapakichapo maana ajar nj enjeWapo ihumwa now bodaboda jamani
Hata wakigongwa flexh tu maana sio kwa upuuzi uleHao wanazingua sana. Dar walileta huo upuuzi nikaona cruiser ya polisi imetokea nyuma ya msafara ikaja mbele, jamaa akawa anawapelekea kabisa gari nzima nzima ndio wakatoka.
kamati ya ulinzi na usalama Dodoma hawakujitayarisha?Mimi pia nimeona wanaendesha bodaboda zao kwa Mbwembwe wajirekebishe kwa kweli haipendezi huu ni msiba
Mim naona baadhi yao watakua wametoka vijijinKwakweli ni washamba haswa sijui ni kamera au?...kuna utofauti mkubwa kati dar na dodoma kweli
Mkuu sio kwa fujo zile ajari bure kabisaHawa wanasema kwa vitendo kuiambia dunia 'Baba sisi ndio tuliokuchagua Oct 202
Umeona mkuu yaani kama watu wa ifwekenya ila afadhal hata wale kuliko hivi vijamaa😂 kuna phaller mmoja anatembea na indicators, namuona kabisa akisababisha ajali jinga lilee😂😂😂
Mkuu sio kwamba wapo humu ila niaibu kwa watu wa makao makuu kua na tabia zileWew unahisi wapo huku JF
Tangu tarehe 17 mwezi march Tanzania imekumbwa na simanzi isiyo na kifani mara baada ya kutangazwa kwa kifo cha rais Magufuli.Nipo naangalia msafala wa magari ya msiba ila boda boda dodoma washamba sanaa kushobokea camera kama hawajawahi kuiona mpaka kero