Bodaboda Arusha wamkumbuka aliyekuwa RTO Arusha, Charles Bukombe

Bodaboda Arusha wamkumbuka aliyekuwa RTO Arusha, Charles Bukombe

Benaya-

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2019
Posts
4,415
Reaction score
7,631
Leo majira ya saa 2:00 katika kituo cha Radio 5 jijini Arisha, walialikwa baadhi ya waendesha boda boda pamoja na viongozi wao.

Katika mahojiano ya namna wanavyopambana na changamoto za kazao, hawakusita kuzungumzia namna ambavyo walisaidika kwa kupewa mafunzo mbalimbali na maelekezo yaliyowasaidia kumudu. majukumu yao na kwa mafanikio wakijitahidi kufuata sheria na aliyekuwa RTO Bukombe wa kipindi kilichopita

"Bukombe alilichukulia suala la usalama kwa abiria na madereva kwa umakini mkubwa", Alisikika mwenyekiti wa umoja wa Bodaboda Arusha.

Tangu ahamishwe hapa Arusha hatujawahi kupewa mafunzo yoyote wala kuitwa na RTO mpya.

Chanzo: Radio 5
 
Leo majira ya saa 2:00 katika kituo cha Radio 5 jijini Arisha, walialikwa baadhi ya waendesha boda boda pamoja na viongozi wao.

Katika mahojiano ya namna wanavyopambana na changamoto za kazao, hawakusita kuzungumzia namna ambavyo walisaidika kwa kupewa mafunzo mbalimbali na maelekezo yaliyowasaidia kumudu. majukumu yao na kwa mafanikio wakijitahidi kufuata sheria na aliyekuwa RTO Bukombe wa kipindi kilichopita

"Bukombe alilichukulia suala la usalama kwa abiria na madereva kwa umakini mkubwa", Alisikika mwenyekiti wa umoja wa Bodaboda Arusha.

Tangu ahamishwe hapa Arusha hatujawahi kupewa mafunzo yoyote wala kuitwa na RTO mpya.

Chanzo: Radio 5
Hizo leseni walipewa bila kufuzu mafunzo? Je ni jukumu la RTO kutoa mafunzo kwa madereva waliokwisha fuzu na wana leseni? Hii ni hatari sana. NB: bongo kila kitu ni ''lalamika''. Kama wanajiona walipata leseni bila kufuzu basi ni jukumu lao kuji-organize na kuomba wapewe mafunzo. Siyo kulalamika.
 
Basi wajikusanye halafu wapeleke maombi ya kupewa mafunzo. RTO hawawezi kuota kuwa hawana mafunzo.
Nakumbuka Arusha uliwekwa na jeshi la polisi kukutana na bodaboda kwenye vijiwe vyao na kupewa mafunzo ya saa moja kwa muda wa wiki mbili.
 
Leo majira ya saa 2:00 katika kituo cha Radio 5 jijini Arisha, walialikwa baadhi ya waendesha boda boda pamoja na viongozi wao.

Katika mahojiano ya namna wanavyopambana na changamoto za kazao, hawakusita kuzungumzia namna ambavyo walisaidika kwa kupewa mafunzo mbalimbali na maelekezo yaliyowasaidia kumudu. majukumu yao na kwa mafanikio wakijitahidi kufuata sheria na aliyekuwa RTO Bukombe wa kipindi kilichopita

"Bukombe alilichukulia suala la usalama kwa abiria na madereva kwa umakini mkubwa", Alisikika mwenyekiti wa umoja wa Bodaboda Arusha.

Tangu ahamishwe hapa Arusha hatujawahi kupewa mafunzo yoyote wala kuitwa na RTO mpya.

Chanzo: Radio 5
Kwani yeye Bukombe anasemaje?
 
Bukombe naona umechoshwa na bench la makao makuu umekuja kwa gia ya kukumbushia kama ulikuwepo.
Kuna vyuo vya udereva ambavyo dereva huweza kupata elimu ya udereva na kuhitimu,sijaona logic ya RTO kuhusishwa
Makao anasoma magazeti tu,no michongo😀
 
Bukombe naona umechoshwa na bench la makao makuu umekuja kwa gia ya kukumbushia kama ulikuwepo.
Kuna vyuo vya udereva ambavyo dereva huweza kupata elimu ya udereva na kuhitimu,sijaona logic ya RTO kuhusishwa
Mkuu, umenichekesha sana. Alafu by the way, senior officers wote wakiwa RTO majukumu mengine ya huko ofisini atafanya nani?
 
Basi wajikusanye halafu wapeleke maombi ya kupewa mafunzo. RTO hawawezi kuota kuwa hawana mafunzo.
Kama ni suala la kiofisi/kisera basi automatically ofisi inajua huo utaratibu pasipo kujali ni nani RTO wa wakati huo. Sidhani kama Police wana utaratibu wa kujitungia tu mambo kichwani pasipo kufanya proper documentation.
 
Leo majira ya saa 2:00 katika kituo cha Radio 5 jijini Arisha, walialikwa baadhi ya waendesha boda boda pamoja na viongozi wao.

Katika mahojiano ya namna wanavyopambana na changamoto za kazao, hawakusita kuzungumzia namna ambavyo walisaidika kwa kupewa mafunzo mbalimbali na maelekezo yaliyowasaidia kumudu. majukumu yao na kwa mafanikio wakijitahidi kufuata sheria na aliyekuwa RTO Bukombe wa kipindi kilichopita

"Bukombe alilichukulia suala la usalama kwa abiria na madereva kwa umakini mkubwa", Alisikika mwenyekiti wa umoja wa Bodaboda Arusha.

Tangu ahamishwe hapa Arusha hatujawahi kupewa mafunzo yoyote wala kuitwa na RTO mpya.

Chanzo: Radio 5


Afande Solomon amekaa nao siku chache zilizopita
 
Kwani yeye Bukombe anasemaje?
yeye mwenyewe ndio kaileta Mada hii kujipa Promo
Katika Mikoa mingi Arusha Bodaboda hawavai kabisa Helmetm wnabeba mishkaki na ndio wanaokatiza upande usio sahihi wrong site
Boda boda wa Arusha wanataka semina za nini wapige kazi waache wizi
nimekutana nao Makao mapya usiku hawalali wapo na vurugu zao na makoti makubwa bila helmet
 
Back
Top Bottom