Kuna malalamiko makubwa kutoka kwa waendesha Bodaboda na Bajaji walioshiriki kikao baina ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Antony Mtaka kuhusiana na hamasa ya sensa lakini awali wakati wanajiandisha asubuhi waliahidiwa kupewa lita 2 za mafuta.
Baada ya kumaliza mkutano baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kuondoka wale waliowatangazia kuwapa lita 2 za mafuta wakaingia mitini bila kuwapa utaratibu wowote ikiwa siku nzima waliimaliza kwenye kongamano hilo bila ya kufanya kazi na wanahitajika kupeleka matumizi majumbani kwao.
Ombi kwa MTAKA fuatilia vizuri suala hili na ukibaini ukweli chukua hatua kwa waliohusika na kashfa hii maana hao ndio wanaochafua CV yako umefanya kazi kubwa isije ikaonekana shughuli unazoandaa watu wanazitumia kuwadhulumu wanyonge.
Baada ya kumaliza mkutano baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kuondoka wale waliowatangazia kuwapa lita 2 za mafuta wakaingia mitini bila kuwapa utaratibu wowote ikiwa siku nzima waliimaliza kwenye kongamano hilo bila ya kufanya kazi na wanahitajika kupeleka matumizi majumbani kwao.
Ombi kwa MTAKA fuatilia vizuri suala hili na ukibaini ukweli chukua hatua kwa waliohusika na kashfa hii maana hao ndio wanaochafua CV yako umefanya kazi kubwa isije ikaonekana shughuli unazoandaa watu wanazitumia kuwadhulumu wanyonge.