Bodaboda mnanimaliza, hata IGP Wambura hawawezi

Bodaboda mnanimaliza, hata IGP Wambura hawawezi

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594

Hii nimeona leo mitaa ya Bunju!

Bodaboda kwa sasa jijini Dar ni donda lisilo na dawa.
Hata akiiona hali hii IGP Wambura atatamani arudi kozi ya utrafiki CCP, Moshi
 
Yesu wangu....🙊
Huyo jamaa wa pembeni amefyatuka kiungo cha muhimu sana mwilini, sasjui itakuaje...☹️
 
Back
Top Bottom