Bodaboda nao waomba kusafiri na Rais Samia kwenye ziara za nje ya nchi

Bodaboda nao waomba kusafiri na Rais Samia kwenye ziara za nje ya nchi

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1717395613959.png
Baadhi ya waendesha pikipiki Jijini Dar es Salaam wameomba kuambatanishwa kwenye ziara za Rais Samia Suluhu Hassan anazozifanya nje ya nchi kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wao.

Maombi hayo yametolewa hivi karibuni katika kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa wa Dar es Salaam ambapo bodaboda hao wameomba kuambatanishwa kwenye ziara hizo kwa ajili ya kukutana na kampuni za kutengeneza pikipiki ili wapate teknolojia bora.

Wamesema teknolojia hizo zitawasaidia kupunguza gharama za uendeshaji wa pikipiki wakitoa mfano kuwa nchini India kuna bajaji zinazotumia nishati ya gesi hivyo wakipata nafasi ya kuzungumza na watengenezaji wa bajaji hizo zitawasaidia kupunguza gharama.

Pia Soma:
- Rais Samia kuanza kusafiri na Wasanii kwenye ziara zake nje ya nchi
 
Maafisa Usafirushaji Wa CCM Hao Wana Hoja
 
Baadhi ya waendesha pikipiki Jijini Dar es Salaam wameomba kuambatanishwa kwenye ziara za Rais Samia Suluhu Hassan anazozifanya nje ya nchi kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wao.

Maombi hayo yametolewa hivi karibuni katika kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa wa Dar es Salaam ambapo bodaboda hao wameomba kuambatanishwa kwenye ziara hizo kwa ajili ya kukutana na kampuni za kutengeneza pikipiki ili wapate teknolojia bora.

Wamesema teknolojia hizo zitawasaidia kupunguza gharama za uendeshaji wa pikipiki wakitoa mfano kuwa nchini India kuna bajaji zinazotumia nishati ya gesi hivyo wakipata nafasi ya kuzungumza na watengenezaji wa bajaji hizo zitawasaidia kupunguza gharama.

Pia Soma:
- Rais Samia kuanza kusafiri na Wasanii kwenye ziara zake nje ya nchi
🤣🤣🤣
 
NA mama ntilie na wao wawepo kwenye safari. ili wakajifunze kutoka kwa mama ntilie wa majuu jinsi wanavyopika kwa usafi na jinsi wanavyoosha vyombo haraka
 
Baadhi ya waendesha pikipiki Jijini Dar es Salaam wameomba kuambatanishwa kwenye ziara za Rais Samia Suluhu Hassan anazozifanya nje ya nchi kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wao.

Maombi hayo yametolewa hivi karibuni katika kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa wa Dar es Salaam ambapo bodaboda hao wameomba kuambatanishwa kwenye ziara hizo kwa ajili ya kukutana na kampuni za kutengeneza pikipiki ili wapate teknolojia bora.

Wamesema teknolojia hizo zitawasaidia kupunguza gharama za uendeshaji wa pikipiki wakitoa mfano kuwa nchini India kuna bajaji zinazotumia nishati ya gesi hivyo wakipata nafasi ya kuzungumza na watengenezaji wa bajaji hizo zitawasaidia kupunguza gharama.

Pia Soma:
- Rais Samia kuanza kusafiri na Wasanii kwenye ziara zake nje ya nchi
Mama ntilie na wao wanataka kujifunza mapishi mapya ya Kikorea ikiwezekana,,
 
Baadhi ya waendesha pikipiki Jijini Dar es Salaam wameomba kuambatanishwa kwenye ziara za Rais Samia Suluhu Hassan anazozifanya nje ya nchi kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wao.

Maombi hayo yametolewa hivi karibuni katika kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa wa Dar es Salaam ambapo bodaboda hao wameomba kuambatanishwa kwenye ziara hizo kwa ajili ya kukutana na kampuni za kutengeneza pikipiki ili wapate teknolojia bora.

Wamesema teknolojia hizo zitawasaidia kupunguza gharama za uendeshaji wa pikipiki wakitoa mfano kuwa nchini India kuna bajaji zinazotumia nishati ya gesi hivyo wakipata nafasi ya kuzungumza na watengenezaji wa bajaji hizo zitawasaidia kupunguza gharama.

Pia Soma:
- Rais Samia kuanza kusafiri na Wasanii kwenye ziara zake nje ya nchi
Policcm na walimu nao wasisahauliwe ili wakapate huko mbinu za kisasa za kushindisha uchaguzi
 
Back
Top Bottom