Bodaboda nao waomba kusafiri na Rais Samia kwenye ziara za nje ya nchi

Bodaboda nao waomba kusafiri na Rais Samia kwenye ziara za nje ya nchi

Baadhi ya waendesha pikipiki Jijini Dar es Salaam wameomba kuambatanishwa kwenye ziara za Rais Samia Suluhu Hassan anazozifanya nje ya nchi kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wao.

Maombi hayo yametolewa hivi karibuni katika kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa wa Dar es Salaam ambapo bodaboda hao wameomba kuambatanishwa kwenye ziara hizo kwa ajili ya kukutana na kampuni za kutengeneza pikipiki ili wapate teknolojia bora.

Wamesema teknolojia hizo zitawasaidia kupunguza gharama za uendeshaji wa pikipiki wakitoa mfano kuwa nchini India kuna bajaji zinazotumia nishati ya gesi hivyo wakipata nafasi ya kuzungumza na watengenezaji wa bajaji hizo zitawasaidia kupunguza gharama.

Pia Soma:
- Rais Samia kuanza kusafiri na Wasanii kwenye ziara zake nje ya nchi
Tunaomba na sisi wamachinga tusafiri na mheshimiwa tukajifunze jinsi ya kufanya biashara kitaalamu.
 
Na sisi wapambanaji mtukumbuke jaman


Kazi ni kipimo cha UTU
 
Mwisho na Wamasai watasema wapelekwe nao kwenye maonyesho
Na Wachawi pia waombe halafu madangaji
Yaani badala ya kuwaza maendeleo watu wanawaza ambayo hata wanyama wangetushangaa kama wanatuelewa
 
Baadhi ya waendesha pikipiki Jijini Dar es Salaam wameomba kuambatanishwa kwenye ziara za Rais Samia Suluhu Hassan anazozifanya nje ya nchi kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wao.

Maombi hayo yametolewa hivi karibuni katika kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa wa Dar es Salaam ambapo bodaboda hao wameomba kuambatanishwa kwenye ziara hizo kwa ajili ya kukutana na kampuni za kutengeneza pikipiki ili wapate teknolojia bora.

Wamesema teknolojia hizo zitawasaidia kupunguza gharama za uendeshaji wa pikipiki wakitoa mfano kuwa nchini India kuna bajaji zinazotumia nishati ya gesi hivyo wakipata nafasi ya kuzungumza na watengenezaji wa bajaji hizo zitawasaidia kupunguza gharama.

Pia Soma:
- Rais Samia kuanza kusafiri na Wasanii kwenye ziara zake nje ya nchi
Picha inaonyesha wapo Morogoro
 
Nasisi wakulima tunataka kusafiri kwenda kupata uzoefu wa wakulima wenzetu wa USA,

Sisi bodaboda tunataka kwenda kujifunza kwa bodaboda wenzetu wa London.
 
Baadhi ya waendesha pikipiki Jijini Dar es Salaam wameomba kuambatanishwa kwenye ziara za Rais Samia Suluhu Hassan anazozifanya nje ya nchi kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wao.

Maombi hayo yametolewa hivi karibuni katika kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa wa Dar es Salaam ambapo bodaboda hao wameomba kuambatanishwa kwenye ziara hizo kwa ajili ya kukutana na kampuni za kutengeneza pikipiki ili wapate teknolojia bora.

Wamesema teknolojia hizo zitawasaidia kupunguza gharama za uendeshaji wa pikipiki wakitoa mfano kuwa nchini India kuna bajaji zinazotumia nishati ya gesi hivyo wakipata nafasi ya kuzungumza na watengenezaji wa bajaji hizo zitawasaidia kupunguza gharama.

Pia Soma:
- Rais Samia kuanza kusafiri na Wasanii kwenye ziara zake nje ya nchi
Usafiri imara huzaa uchumi imara, kheri ya hawa kuliko wale wa mamakimbo.
Huenda nao wametunikiwa dipuloma.
 
Nashauri na dada poa wa Kimboka Buguruni nao wasafiri nje ya nchi katika ziara hizo ili kuongeza ufanisi katika kazi zao
tena wangepelekwa thailand wakajifunze zaidi namna bora ya kuiuza nyama wenzao wanahadi mashine za efd
 
Back
Top Bottom