Bodaboda wa Kenya wanavuka mpaka kufata mafuta ya bei nafuu Tanzania

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Bodaboda kutoka nchini Kenya sasa wanavuka mpaka na kuingia Tanzania kufata mafuta ya bei nafuu huku Tanzania ikitajwa kuwa na bei ya chini zaidi ya dizeli na petroli kutokana na mfumo wa kuagiza mafuta kwa pamoja 'Bulk procurement'

 
Raisi wa Nigeria ,Tinubu aliondoa ruzuku kwenye mafuta nchi za jirani yake "zikalia"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…