Sasa hivi Tanzania kila mtu ana hasiraKuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.
Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.
My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.
Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.
My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
mleta mada hivi vi`habari visivyo rasmi then hata picha hakuna inakuwa inaleta ukakasi kwenye habari yako,na wewe unayeuliza maana ya SUV upo kweli mjini au?unatakiwa uwe na tabia ya kujifunza vitu vingi kadri uwezavyo ili uwe unakwenda sambamba na wenzio tuliopo mijini,Mkuu gari aina ya SUV ndio gari gani hiyo?
mleta mada hivi vi`habari visivyo rasmi then hata picha hakuna inakuwa inaleta ukakasi kwenye habari yako,na wewe unayeuliza maana ya SUV upo kweli mjini au?unatakiwa uwe na tabia ya kujifunza vitu vingi kadri uwezavyo ili uwe unakwenda sambamba na wenzio tuliopo mijini,
SUV maana yake ni A sport utility vehicle or suburban utility vehicle (SUV)
Kwani wewe unajua aina ngapi za magari?
Mnaitumbukiza wewe na kundi lako nchi kwenye jahanamu. Mnajenga chuki ambayo itatupeleka genocide. Stop that pleaseKuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.
Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.
My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
Ina maana mleta mada taarifa aliyonayo inawezekana ni SUV details za ni make au model gani hana mbona unaleta unnecessary league!Acha ujuaji wewe, SUV ni muundo tu wa gari kama ulivyo BUS, Sedan, Pick up. Swali langu lazima kutakuwa na gari alafu ndio muundo ufuate. Angesema kama ni toyota labda Harrier hiyo muundo wake ni SUV, sasa anakurupuka anatoa taarifa SUV ndio maana nikamuuliza SUV ndio nini
Wenye magari wananyodo sana. Nawaunga mkono hao bodax2Bodaboda wengi wanavuta bangi