Tetesi: Bodaboda wachoma gari(SUV) Arusha

Tetesi: Bodaboda wachoma gari(SUV) Arusha

Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.

Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.

My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.


Kukifungia kijiwe haiwezi kuwa suluhu kwakuwa wenye tabia hiyo watahama na kwenda kueneza mwenendo huo mahali pengine, dawa nikuwaweka ndani wajifunze adabu na kutii sheria
 
Kukifungia kijiwe haiwezi kuwa suluhu kwakuwa wenye tabia hiyo watahama na kwenda kueneza mwenendo huo mahali pengine, dawa nikuwaweka ndani wajifunze adabu na kutii sheria
Hilo litakuwa funzo kwa kijiwe kingine ili waweze kufuata sheria
 
mleta mada hivi vi`habari visivyo rasmi then hata picha hakuna inakuwa inaleta ukakasi kwenye habari yako,na wewe unayeuliza maana ya SUV upo kweli mjini au?unatakiwa uwe na tabia ya kujifunza vitu vingi kadri uwezavyo ili uwe unakwenda sambamba na wenzio tuliopo mijini,
SUV maana yake ni A sport utility vehicle or suburban utility vehicle (SUV)
Semi utility vehicle

Post sent using JamiiForums mobile app
 
TATIZO NINI KWANI LAZIMA KUWE NA SHIDA HAPO SIO BURE

Post sent using JamiiForums mobile app
 
mleta mada hivi vi`habari visivyo rasmi then hata picha hakuna inakuwa inaleta ukakasi kwenye habari yako,na wewe unayeuliza maana ya SUV upo kweli mjini au?unatakiwa uwe na tabia ya kujifunza vitu vingi kadri uwezavyo ili uwe unakwenda sambamba na wenzio tuliopo mijini,
SUV maana yake ni A sport utility vehicle or suburban utility vehicle (SUV)
Huko sahihi kuuliza hivyo. Maana SUV's ziko variety nyingi sana, mfano Rav 4, Hilux, Mitsubishi, Honda, TLC ni.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kuna haja ya kuongeza risasi kwenye bastola.
 
Hilo litakuwa funzo kwa kijiwe kingine ili waweze kufuata sheria


Kumbuka ni haohao watahama na kwenda kwingine, kunachotakiwa kukomeshwa ni tabia ya hao waliofanya hayo
 
Hivi unajielewa kweli wewe?
Kama siijakosea SUV ni body shape ya gari! Inaweza kuwa toyota harrier,nissan murano,marcedes benz 500ml,au hata volkswagen tuareg! Japo Hatujui sana na wewe usijifanye unajua sana!
 
Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.

Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.

My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
Sio tu ifunge kituo...iwafunge kabisa hqo...

Wanadhani gari ni makalio kila
mtu analo???

Boda boda awe na kosa asiwe na kosa wanachukua sheria mkononi
 
Kumbuka ni haohao watahama na kwenda kwingine, kunachotakiwa kukomeshwa ni tabia ya hao waliofanya hayo
wakihamia kwingine na wakafanya upuuzi huo kijiwe chao kinafungiwa.
kimsingi wanaofanya hivyo ni wachache na wanawachafua wengi waliojiajiri kwenye sekta hiyo.
 
Nimepita hilo eneo ni kwenye kona ya Elerai kweli kuna gari limeungua nahisi ni Toyota harrier

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.

Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.

My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
Bado picha haijaweekwa!
 
nimewahi safiri 100km na bodaboda. wenye magari hawajali kabisa bodaboda. anaweza kuovertake bila kujali boda inakuja mbele. inabidi boda apishe kuingia pembeni. boda nao hawheshimu kama wapo kwenye chombo cha moto.
 
Bodaboda kote ni km hamnazo, sasa fikria tena awe ni bodaboda wa Arusha na ile bangi, ni balaah

Post sent using JamiiForums mobile app
Kwani BANGI bado ipo nchini mkuu???

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom