Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.
Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.
My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
Hilo litakuwa funzo kwa kijiwe kingine ili waweze kufuata sheriaKukifungia kijiwe haiwezi kuwa suluhu kwakuwa wenye tabia hiyo watahama na kwenda kueneza mwenendo huo mahali pengine, dawa nikuwaweka ndani wajifunze adabu na kutii sheria
Semi utility vehiclemleta mada hivi vi`habari visivyo rasmi then hata picha hakuna inakuwa inaleta ukakasi kwenye habari yako,na wewe unayeuliza maana ya SUV upo kweli mjini au?unatakiwa uwe na tabia ya kujifunza vitu vingi kadri uwezavyo ili uwe unakwenda sambamba na wenzio tuliopo mijini,
SUV maana yake ni A sport utility vehicle or suburban utility vehicle (SUV)
Huko sahihi kuuliza hivyo. Maana SUV's ziko variety nyingi sana, mfano Rav 4, Hilux, Mitsubishi, Honda, TLC ni.mleta mada hivi vi`habari visivyo rasmi then hata picha hakuna inakuwa inaleta ukakasi kwenye habari yako,na wewe unayeuliza maana ya SUV upo kweli mjini au?unatakiwa uwe na tabia ya kujifunza vitu vingi kadri uwezavyo ili uwe unakwenda sambamba na wenzio tuliopo mijini,
SUV maana yake ni A sport utility vehicle or suburban utility vehicle (SUV)
Hilo litakuwa funzo kwa kijiwe kingine ili waweze kufuata sheria
Mkuu wee acha tu hali ni ngumu walimu,askari,dereva,daktar wote wanahasira inatisha sanandio Jmbo la kujiuliza hasira zetu tutazimalzia wapi..
Kama siijakosea SUV ni body shape ya gari! Inaweza kuwa toyota harrier,nissan murano,marcedes benz 500ml,au hata volkswagen tuareg! Japo Hatujui sana na wewe usijifanye unajua sana!Hivi unajielewa kweli wewe?
Sio tu ifunge kituo...iwafunge kabisa hqo...Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.
Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.
My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
wakihamia kwingine na wakafanya upuuzi huo kijiwe chao kinafungiwa.Kumbuka ni haohao watahama na kwenda kwingine, kunachotakiwa kukomeshwa ni tabia ya hao waliofanya hayo
Bado picha haijaweekwa!Kuna taarifa kuwa kuna gari aina ya SUV limechomwa moto na madereva boda boda maeneo ya Sakina.
Ikumbukwe kuwa hili linaweza kuwa tukio la pili la bodaboda wa maeneo hayo kuchoma gari.
My take:
Ikiwezekana Serikali ikifungie kijiwe husika cha bodaboda ili iwe fundisho dhidi ya uhuni huu.
Kwani BANGI bado ipo nchini mkuu???Bodaboda kote ni km hamnazo, sasa fikria tena awe ni bodaboda wa Arusha na ile bangi, ni balaah
Post sent using JamiiForums mobile app
Lexus SUVMkuu gari aina ya SUV ndio gari gani hiyo?