- Thread starter
- #21
Acha ujinga pimbi wewe unataka ujibiwe nini, nyie ndio wezi wenyewe.Jibu swali kwanza, SHEMU HANA BODABODA WAKE?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga pimbi wewe unataka ujibiwe nini, nyie ndio wezi wenyewe.Jibu swali kwanza, SHEMU HANA BODABODA WAKE?
Sawa Sasa siku nyingine mwache BODABODA wake ampeleke, sisi tutamkaba.Acha ujinga pimbi wewe unataka ujibiwe nini, nyie ndio wezi wenyewe.
Yuko anafugwa kwa shemeji yake na kusikilizia dadake anavyosasambuliwa!Utakuwa under 18 wewe bila shaka
Kwa hiyo wewe unakaa Masaki?bila shaka ni mbagara huko...
hamia masaki mzee hzo vitu utaziona kwa luninga
Watu wengi wanaachwaga nyuma ya leaders na magomeni mikumi kuna sehemu moja tulivu sanaHao Mlezi Wao Ni Ccm
Muwakamate.Muachanishe vichwa vyao na viwiliwili vyao.Ila mzingatie,msiwaue tu!Haya makundi ya bodaboda yaangaziwe kwa jicho lingine kabisa kwa watumiaji wake.
Baadhi yao ni vibaka, wezi na wanyang'anyi..
Wamemkaba wife Leo mda mchache baada ya kuachana nae, bodaboda aliyemkodi ndie aliyemkaba huko njiani na kumnyang'anya pochi iliyokuwa na simu, pesa pamoja na document kadhaaa.
Ni bora hata wangechukua pesa na simu wakaacha hizo document. Hii mijinga ndio maana huwa inachomwa moto.
Pumbavu kabisa.
hahahahahahahaPole mkuu.
Shem HANA BODABODA WAKE?
Jibu swali kwanza, SHEMU HANA BODABODA WAKE?
pole Sana!Haya makundi ya bodaboda yaangaziwe kwa jicho lingine kabisa kwa watumiaji wake.
Baadhi yao ni vibaka, wezi na wanyang'anyi..
Wamemkaba wife Leo mda mchache baada ya kuachana nae, bodaboda aliyemkodi ndie aliyemkaba huko njiani na kumnyang'anya pochi iliyokuwa na simu, pesa pamoja na document kadhaaa.
Ni bora hata wangechukua pesa na simu wakaacha hizo document. Hii mijinga ndio maana huwa inachomwa moto.
Pumbavu kabisa.
Kuweni na huruma na msamaha na watanzania wenzenu. Piano nao Wana familiaHalafu hizo documents wanaenda kuzitupa hovyo maana hawaujui umuhimu wake,mwaka 2005 nikiishi Mabibo wakati huo kwa marehemu binam yangu alinipa bahasha kwa msisitizo kabisa “hakikisha hupitii popote mpaka huu mzigo umeufikisha nyumbani” nimetoka pale yaani metre hamsini nifike home wakaja wajinga wakanikwara ile bahasha wakakimbia nayo kumbe zilikuwa receipts za ku-renew ada ya silaha yake na ilikuwa aziwasilishe kwa mamlaka husika kesho yake tarehe iliyofuata kabla ada ya mwanzo haijawa expired.
Aisee jamaa nilipompa hizi taarifa alinipiga vibao siku nne mbele nikaja kuiona ile bahasha imetupwa kwenye mtaro wa maji machafu huku nyuma jamaa ameshalipishwa fine,toka siku hiyo nikiona mwizi anapigwa wala simuonei huruma maana nazijua hasara zao zinavyouma.
Kumbe ndo sababu kawa mkali kujibu Hilo swali!Keshajibu; Kama Ni mbali Sana Na Nyumbani anafanyaje? Na hawa mnaowaita boda Boda wenu ndo huwasaidia mpaka wake Zenu mkiwa mmechoka!
Pole mkuu...kama ni kwa dar hapa nakataa mana boda walio wengi wana vijiwe vyao...chimba chimba usikute shemela alikula vya watu hivyo wahuni wamejilipa kinamna hiyo.Haya makundi ya bodaboda yaangaziwe kwa jicho lingine kabisa kwa watumiaji wake.
Baadhi yao ni vibaka, wezi na wanyang'anyi..
Wamemkaba wife Leo mda mchache baada ya kuachana nae, bodaboda aliyemkodi ndie aliyemkaba huko njiani na kumnyang'anya pochi iliyokuwa na simu, pesa pamoja na document kadhaaa.
Ni bora hata wangechukua pesa na simu wakaacha hizo document. Hii mijinga ndio maana huwa inachomwa moto.
Pumbavu kabisa.
Hiyo itasababisha maafa makubwa kuliko yaliyopo sasaSerikali inapaswa iwe inatoa silaha sasa kwa watu wengi ili watu wapambane wenyewe uraiani...naamini tutaheshimiana na baadhi ya matukio yatakoma..
Iwekwe tu taratibu nyepesi nyepesi huko mitaani watu wafyatuane..