Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Hii username haijakaa ki Masaki.bila shaka ni mbagara huko...
hamia masaki mzee hzo vitu utaziona kwa luninga
Imekaa Kimtogole au Kwa Haji Tumbo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii username haijakaa ki Masaki.bila shaka ni mbagara huko...
hamia masaki mzee hzo vitu utaziona kwa luninga
kama boda umemkuta njiani kijiwe atoe wapiPole mkuu...kama ni kwa dar hapa nakataa mana boda walio wengi wana vijiwe vyao...chimba chimba usikute shemela alikula vya watu hivyo wahuni wamejilipa kinamna hiyo.
Hizo za ndanindani kabisa mkuu [emoji39][emoji39][emoji39]
Tatizo hawaibi kwa akili,kuibiwa kupo ni timing ila inaudhi wanakuibia hata vitu ambavyo kwao havina muhimu ila kwako ni muhimu sana mwisho kuishia kuvitupa bora hata wangekuwa wana-act wema wamteuwe mmoja wao apeleke kituo cha polisi ajifanye ameokota police wautaarifu umma mwenyewe anaweza kusikia akaenda kuchukua.Kuweni na huruma na msamaha na watanzania wenzenu. Piano nao Wana familia
hapana mimi sikai masaki
sikai masaki wala kimtogole...Hii username haijakaa ki Masaki.
Imekaa Kimtogole au Kwa Haji Tumbo.
Rule #1,unapotaka kupata usafiri wa boda bodaKuweni na huruma na msamaha na watanzania wenzenu. Piano nao Wana familia
Kuweni na huruma na msamaha na watanzania wenzenu. Piano nao Wana familia
Naunga mkono hojaSerikali inapaswa iwe inatoa silaha sasa kwa watu wengi ili watu wapambane wenyewe uraiani...naamini tutaheshimiana na baadhi ya matukio yatakoma..
Iwekwe tu taratibu nyepesi nyepesi huko mitaani watu wafyatuane..
Msiwe na mawazo pindishi mda wote.Muulize vizuri mkeo,kuna kitu kakuficha.
Sasa wakishawaachanisha vichwa na viwili wili vyao si ndo watakuwa wameshawaua??.Muwakamate.Muachanishe vichwa vyao na viwiliwili vyao.Ila mzingatie,msiwaue tu!
Utaanza wewe kuuawa au ndugu yako au mwanao.Serikali inapaswa iwe inatoa silaha sasa kwa watu wengi ili watu wapambane wenyewe uraiani...naamini tutaheshimiana na baadhi ya matukio yatakoma..
Iwekwe tu taratibu nyepesi nyepesi huko mitaani watu wafyatuane..
Hapana.Watavichunguza tu na kuwarudishia.Wasiwaue.Sasa wakishawaachanisha vichwa na viwili wili vyao si ndo watakuwa wameshawaua??.
Pole sanaHaya makundi ya bodaboda yaangaziwe kwa jicho lingine kabisa kwa watumiaji wake.
Baadhi yao ni vibaka, wezi na wanyang'anyi..
Wamemkaba wife Leo mda mchache baada ya kuachana nae, bodaboda aliyemkodi ndie aliyemkaba huko njiani na kumnyang'anya pochi iliyokuwa na simu, pesa pamoja na document kadhaaa.
Ni bora hata wangechukua pesa na simu wakaacha hizo document. Hii mijinga ndio maana huwa inachomwa moto.
Pumbavu kabisa.
Pole sana MkuuHaya makundi ya bodaboda yaangaziwe kwa jicho lingine kabisa kwa watumiaji wake.
Baadhi yao ni vibaka, wezi na wanyang'anyi..
Wamemkaba wife Leo mda mchache baada ya kuachana nae, bodaboda aliyemkodi ndie aliyemkaba huko njiani na kumnyang'anya pochi iliyokuwa na simu, pesa pamoja na document kadhaaa.
Ni bora hata wangechukua pesa na simu wakaacha hizo document. Hii mijinga ndio maana huwa inachomwa moto.
Pumbavu kabisa.
Shehe tutageuka afrika ya kusini mda Si mrefu wakiruhusu hivo vituSerikali inapaswa iwe inatoa silaha sasa kwa watu wengi ili watu wapambane wenyewe uraiani...naamini tutaheshimiana na baadhi ya matukio yatakoma..
Iwekwe tu taratibu nyepesi nyepesi huko mitaani watu wafyatuane..
Bodaboda wake acha kumdanganya mwenzio hivyo.Pole mkuu.
Shem HANA BODABODA WAKE?