Tyrex
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,373
- 5,100
Hicho kitu Ni kweli na naamini bodaboda walio wengi wanaofanya kazi hii mda mrefu niwastaarabu na Hao Hao huwakomesha Hawa vibaka wa kisingizio cha bodaboda sababu huharibu taswira nzima ya bodaboda..Mkuu kweny msafara wa mamba na kenge wamo, sio sahihi na sawa kuamua kuwatusi bodaboda wote kwa kosa au mapungufu ya watu wachache mi navojua hao unaowaita wezi sio bodaboda bali ni wezi na vibaka wanaiba kwa kutumia pikipiki maana sisi bodaboda wenyewe tunaipenda na kuiheshimu kazi yetu.