Bodaboda wasajiliwe kama biashara rasmi wakiwekewa mazingira mazuri

Bodaboda wasajiliwe kama biashara rasmi wakiwekewa mazingira mazuri

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Bodaboda hesabu ni 7000 kwa siku akiamuka mapema akajihimu asubuhi Mpaka kufikia saa 4 ashafikisha hata 10000 mchana na usiku ana weza kufikisha 30000.

Kama akicheza michezo yao ile ya kuwekeana hela kwa mwaka ana weza kununua bodaboda nyingine mbili ambazo ataajiri watu wengine.

Bodaboda baadhi ni Wezi au wengi ni Wezi wanalalamikiwa kuiba Mpaka wake za watu. Bodaboda wawe wa kweli wasiwe maagent wa umalaya kuvusha mizigo haramu.

Watu wengi hatujui serikali ni kwa vipi hukusanya maokoto kutoka kwa bodaboda. Ni kazi ya kufanya kila siku ama unaweza kupumzika ikikuangusha.

Bodaboda wasajiliwe RASMI kama biashara RASMI kabisa ambayo inaweza kuchangia mapato wakiwekewa mazingira mazuri.
 
Bodaboda hesabu ni 7000 Kwa siku akiamuka mapema akajihimu asubuhi Mpaka kufikia saa 4 ashafikisha hata 10000 mchana na usiku ana weza kufikisha 30000.
Kama akicheza michezo yao ile ya kuwekeana hela Kwa mwaka ana weza kununua bodaboda nyingine mbili ambazo ataajiri watu wengine.

Bodaboda baadhi ni Wezi au wengi ni Wezi wanalalamikiwa kuiba Mpaka wake za watu. Bodaboda wawe wa kweli wasiwe maagent wa umalaya kuvusha mizigo haramu.

Watu wengi hatujui ni serikali ni kwa vipi hukusanya maokoto kutoka kwa bodaboda. Ni kazi ya kufanya kila siku ama unaweza kupumzika ikikuangusha.



Bodaboda wasajiliwe RASMI kama biashara RASMI kabisa ambayo inaweza kuchangia mapato wakiwekewa mazingira mazuri.
Wewe unamhesabia Bodaboda wewe mbona unapata hela nyingi.
 
Bodaboda hesabu ni 7000 Kwa siku akiamuka mapema akajihimu asubuhi Mpaka kufikia saa 4 ashafikisha hata 10000 mchana na usiku ana weza kufikisha 30000.
Kama akicheza michezo yao ile ya kuwekeana hela Kwa mwaka ana weza kununua bodaboda nyingine mbili ambazo ataajiri watu wengine.

Bodaboda baadhi ni Wezi au wengi ni Wezi wanalalamikiwa kuiba Mpaka wake za watu. Bodaboda wawe wa kweli wasiwe maagent wa umalaya kuvusha mizigo haramu.

Watu wengi hatujui ni serikali ni kwa vipi hukusanya maokoto kutoka kwa bodaboda. Ni kazi ya kufanya kila siku ama unaweza kupumzika ikikuangusha.



Bodaboda wasajiliwe RASMI kama biashara RASMI kabisa ambayo inaweza kuchangia mapato wakiwekewa mazingira mazuri.
Boda boda sio kazi ni madhara ya ukosefu wa kazi nchini, kuna mzazi angependa mtoto wake awe dereva wa boda boda? Hapana.
 
Bodaboda hesabu ni 7000 Kwa siku akiamuka mapema akajihimu asubuhi Mpaka kufikia saa 4 ashafikisha hata 10000 mchana na usiku ana weza kufikisha 30000.
Kama akicheza michezo yao ile ya kuwekeana hela Kwa mwaka ana weza kununua bodaboda nyingine mbili ambazo ataajiri watu wengine.

Bodaboda baadhi ni Wezi au wengi ni Wezi wanalalamikiwa kuiba Mpaka wake za watu. Bodaboda wawe wa kweli wasiwe maagent wa umalaya kuvusha mizigo haramu.

Watu wengi hatujui ni serikali ni kwa vipi hukusanya maokoto kutoka kwa bodaboda. Ni kazi ya kufanya kila siku ama unaweza kupumzika ikikuangusha.



Bodaboda wasajiliwe RASMI kama biashara RASMI kabisa ambayo inaweza kuchangia mapato wakiwekewa mazingira mazuri.
Bodaboda nchi nzima wako takribani ma dereva 1m, ambao ni 6% ya Tanzania nzima workforce ya Tanzania (able bodied men) in 5.5m kwahiyo 20% ni boda boda manaake 20% ya watanzania wanapata pesa kweli kweli kwa hesabu hizo hi nchi ni tajili sanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2956][emoji2956][emoji2956]
 
Na sie pesa tunazo bana sio bodaboda peke yao
images.jpeg-120.jpg
 
Bodaboda hesabu ni 7000 Kwa siku akiamuka mapema akajihimu asubuhi Mpaka kufikia saa 4 ashafikisha hata 10000 mchana na usiku ana weza kufikisha 30000.
Kama akicheza michezo yao ile ya kuwekeana hela Kwa mwaka ana weza kununua bodaboda nyingine mbili ambazo ataajiri watu wengine.

Bodaboda baadhi ni Wezi au wengi ni Wezi wanalalamikiwa kuiba Mpaka wake za watu. Bodaboda wawe wa kweli wasiwe maagent wa umalaya kuvusha mizigo haramu.

Watu wengi hatujui ni serikali ni kwa vipi hukusanya maokoto kutoka kwa bodaboda. Ni kazi ya kufanya kila siku ama unaweza kupumzika ikikuangusha.



Bodaboda wasajiliwe RASMI kama biashara RASMI kabisa ambayo inaweza kuchangia mapato wakiwekewa mazingira mazuri.
Boda boda ata ukiwa yako kufikisha hesabu ya 20 per day ni kipengele boda boda anayeingiza 30 niboda mzoefu ila nakubaliana na wewe boda boda wengi hawana future nakupata utajiri nawaona kwenye mabar wamekuwa wanapendwa wa mabamaid sababu sio wabahiri wamatumizi
 
Back
Top Bottom