Bodaboda wasajiliwe kama biashara rasmi wakiwekewa mazingira mazuri

Boda boda ata ukiwa yako kufikisha hesabu ya 20 per day ni kipengere boda boda anayeingiza 30 niboda mzoefu ila nakubaliana na wewe boda boda wengi hawana future nakupata utajiri nawaona kwenye mabar wamekuwa wanapendwa wa mabamaid sababu sio wabahiri wakufanya matumizi wakipata pesa
 
Naendelea kutafakari....inatafakarisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…