jaffari odhiambo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 526
- 13
Hawa ndio madereva pikipiki/Toyo wazuri kwa uendeshaji tena waaminifu.
Wanapatikana katika wilaya ya Bunda mkoani Mara.
Vijana hawa wanapaki mtaa wa baisikeli nyuma ya soko kuu karibu na duka la Nyamongo Hardware. Kwa mawasiliano zaidi wanapatikana kwa namba zifuatazo : 0788043177, 0768215677, 0682819436, 0765751413, 0753183313 na 0753216886.
Muda wowote ukipiga unawapata.Hata ukiwa mgeni ukifika Bunda piga moja kati ya hizo namba ili upate usafiri wa uhakika maana wana mwendo mzuri kwa sababu abiria anaendeshwa kwa speed anayotaka yeye abiria.
Karibuni sana kwa usafiri wauhakika. Piga simu mda wowote ila kazi wanafunga kuanzia saa 2:30 usiku.
Thank you in advance.
Wanapatikana katika wilaya ya Bunda mkoani Mara.
Vijana hawa wanapaki mtaa wa baisikeli nyuma ya soko kuu karibu na duka la Nyamongo Hardware. Kwa mawasiliano zaidi wanapatikana kwa namba zifuatazo : 0788043177, 0768215677, 0682819436, 0765751413, 0753183313 na 0753216886.
Muda wowote ukipiga unawapata.Hata ukiwa mgeni ukifika Bunda piga moja kati ya hizo namba ili upate usafiri wa uhakika maana wana mwendo mzuri kwa sababu abiria anaendeshwa kwa speed anayotaka yeye abiria.
Karibuni sana kwa usafiri wauhakika. Piga simu mda wowote ila kazi wanafunga kuanzia saa 2:30 usiku.
Thank you in advance.