Mbekenga
JF-Expert Member
- Jun 14, 2010
- 3,262
- 8,144
Ili kuongeza thamani ya Shilingi, inabidi tuzalishe (kwa kulima, kusindika) kwa ajili ya matumizi ya ndani na ziada kwa ajili ya mauzo ya nje. Sasa hawa wazungu (wachina) wameona ili tubaki tegemezi wanaamua kuzalisha na kutuletea na kuteka akili za vijana badala ya kwenda kuzalisha wao wanakimbilia kuendesha bodaboda.
Hasara
-Kutengeneza vikundi vya vijana wanaopanga uharifu vijiweni wakati wakishindania abiria
-Mfumuko wa bei utokanao na vijana wengi kutozalisha
-Mfumuko wa bei utokanao na wananchi kuingia gharama kubwa kulipia usafiri (safari unayolipia sh.300 kwa daladala utalipa sh. 3000 kwa bodaboda.
kama nimekosea basi nikosoe hayi ni mawazo yangu juu ya wazungu wanavyochezea akili yetu
Hasara
-Kutengeneza vikundi vya vijana wanaopanga uharifu vijiweni wakati wakishindania abiria
-Mfumuko wa bei utokanao na vijana wengi kutozalisha
-Mfumuko wa bei utokanao na wananchi kuingia gharama kubwa kulipia usafiri (safari unayolipia sh.300 kwa daladala utalipa sh. 3000 kwa bodaboda.
kama nimekosea basi nikosoe hayi ni mawazo yangu juu ya wazungu wanavyochezea akili yetu