Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu ipi/ zip?Tusubir sasa herufi W itolewe kwenye neno Twitter
Alpost kama swaliKwasababu ipi/ zip?
Unaionaje bure,??? Bila Bando unaingia??Wataalam wa uchumi twambieni uyo Elon musk atairudishaje pesa yake wkt app yenyewe sisi wadau tunaitumia bure TU[emoji848]
Matajri wanafurahia utajiri wao bila kujali watu watawaonaje ni Elon Musk na Mo.
Swali zuri kama hili utakuta kuna BOYA litakuja kujibu kihayawani.Wataalam wa uchumi twambieni uyo Elon musk atairudishaje pesa yake wkt app yenyewe sisi wadau tunaitumia bure TU[emoji848]
Huyu jamaa sio siku nyingi watu watamshtukia 😀😀Hizi tetesi zilikuwa kama kweli ila zimekuwa kweli sasa kama wamekubali.
bodi ya twitter imekubali sasa kwa dau hilo na sasa itakuwa mikononi mwa Elon .
kumbuka Elon musk aliingia kama share na sasa anaingia kamili.
View attachment 2200510
Hivi Twitter haina Ads kama Facebook. Maana biashara yao kubwa ni matangazo na yanawaingizia pesa ndefu sana.Wataalam wa uchumi twambieni uyo Elon musk atairudishaje pesa yake wkt app yenyewe sisi wadau tunaitumia bure TU[emoji848]
Ndio Tajiri sasaMo ni tajiri wa utakanao na ufisadi serkalini
Kwanini ahisi hivyo hadi kuuliza hilo swaliAlpost kama swali