Wandugu, naomba mwenye uelewa hili hili swala anijuze. Nafahamu mashirika ya umma na taasisi mbali mbali za umma huwa na kitu kinaitwa Bodi ya wakurugenzi, ambao huteuliwa na Waziri husika na Mwenyekiti wa Board huteuliwa na Raisi. Hilo halina tatizo kwangu. Shida yangu iko kwenye kampuni binafsi. Je board members ni lazima wawe wanahisa. Kama siyo wanahisa wanalipwaje? Na kazi zao hasa ni zipi?
Nauliza hivi kwa sababu nafikiria kuunda bodi ya kikampuni changu. Hiki kikampuni tulianzisha na mke wangu, sasa kimeanza kunona kidogo na naona ni wakati muafaka kuwa na kitu kama board na kujaribu kukiendesha kama taasisi ili hata kama mimi au mke wangu hayupo, mambo yaendelee kama kawaida. Je nianzie wapi kuunda hiyo bodi, na vigezo gani nitumie kuchagua wajumbe na mweyeketi? Je ni lazima hiyo board iwe inalipwa mshahara au tunagawana faida? Tafadhali naomba mnijuze.
Nauliza hivi kwa sababu nafikiria kuunda bodi ya kikampuni changu. Hiki kikampuni tulianzisha na mke wangu, sasa kimeanza kunona kidogo na naona ni wakati muafaka kuwa na kitu kama board na kujaribu kukiendesha kama taasisi ili hata kama mimi au mke wangu hayupo, mambo yaendelee kama kawaida. Je nianzie wapi kuunda hiyo bodi, na vigezo gani nitumie kuchagua wajumbe na mweyeketi? Je ni lazima hiyo board iwe inalipwa mshahara au tunagawana faida? Tafadhali naomba mnijuze.