Bodi ya Ligi imetumia kanuni gani kuahirisha mchezo wa derby?

Bodi ya Ligi imetumia kanuni gani kuahirisha mchezo wa derby?

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Kwa mujibu wa kanuni zinazoendesha bodi ya Ligi, hizi ndizo sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo wa Ligi kuu kuahirishwa.

KANUNI YA 9
KUAHIRISHA MCHEZO
Mchezo unaweza kuahirishwa kutokana na sababu yoyote kati ya zifuatazo:-
(a) Endapo timu ina wachezaji watano au zaidi katika timu ya Taifa;
(b) Endapo timu inashiriki katika mashindano ya Kimataifa na ina muda usiozidi siku sita kufikia mchezo wa Kimataifa;
(c) Sababu yoyote ya dharura nzito na yenye msingi itakayokubaliwa na TFF
(d) Mchezo wowote ulioahirishwa utapangwa tena katika tarehe itakayoamuliwa na TFF isipokuwa kama ni dharura ya mvua au dharura yoyote nyingine basi mchezo huo utachezwa siku inayofuata iwapo ratiba inaruhusu
(e) Iwapo mchezo ulishaanza na kuvunjika kwa sababu ya mvua au dharura yoyote nyingine; magoli yaliyofungwa katika mchezo huo yataendelea kuwekwa katika idadi ya magoli yaliyofungwa na wachezaji binafsi lakini si katika idadi ya magoli ya timu. Kadhalika kadi walizoonyeshwa wachezaji katika mchezo ulioahirishwa au uliovunjika zitaendelea kuhesabika.
(f) Taarifa ya maombi ya kuahirisha mchezo ni lazima itolewe kwa maandishi si chini ya siku 14 kabla ya siku ya mchezo, isipokuwa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa binadamu.

Katika kanuni hii, Sijaona kipengele kwamba mchezo unaweza kuahirishwa kwa sababu ya timu pinzani kunyimwa kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja husika.Tumeshuhudia michezo na figisu nyingi katika michezo ya CAF ikiwemo wachezaji kupuliziwa madawa katika vyumba vya kubadilishia, wachezaji kuvamiwa hotelini nk. Lakini haujawahi kusikia mchezo wa CAF umeahirishwa kwa sababu hizo, sanasana hatua huchukuliwa baada ya mchezo ila mchezo husika huachwa umalizike kwani kwa kusimamisha mchezo husika madhara ni makubwa zaidi.Je, nani atarejesha gharama za tiketi, malazi ya hoteli, wafanyabiashara mbalimbali waliowekeza kwa ajili ya mchezo tarehe husika?.Ni mara chache sana mchezo ukaahirishwa. Ninaamini pia sababu hizohizo ndizo zilipelekea mchezo kati ya Pamba na Simba kuruhusiwa kuchezwa licha ya kuwepo kasoro kadha wa kadha, Ndivyo hivyo mchezo wa JKT Queens ambapo bodi ya Ligi haikuamua kuhamisha mchezo huo tarehe nyingine bali ilitoa adhabu hapo hapo, na mchezo ulihesabiwa na JKT Queens waliadhibiwa vikali. Naamini sababu hizohizo ndizo zilizoiadhibu Biashara utd.

Kama mchezo unaweza kuahirishwa bila sababu ya msingi, na TPLB wakaona ni sawa, Itafika wakati timu ya ligi haitakuwa tayari kwa mchezo itatafuta sababu yoyote na Bodi itabariki kwa kusogeza tarehe mbele.

Hii inaondoa kabisa ile lengo la kanuni kwamba "Timu isipofika uwanjani, basi timu pinzani itapatiwa alama 3 na magoli 3. Sasa kanuni hii ina maana gani kama kuna uwezekano wa kukaa na kuyamaliza na mchezo ukapangwa wakati mwingine, Kanuni hii ina maana gani?

Bodi ya Ligi inapaswa kujitafakari sana. Ninyi ndiyo mnaotunga kanuni na nyie ndiyo wa kwanza kuvunja kanuni.
 
Simba imegoma uhuni na haitaki ligi yenye makando. Hata timu zingine pia ziige kwa simba.Soka linakufa,endeleeni na ligi yenu.

Screenshot_20250308-152526_Instagram.jpg
 
Mambo ya kijinga sana haya. Wakati mwingine bora kususia kulipia ving'amuzi na pia kwenda kuangalia hizi mechi zao za kujiamulia kususa au kucheza.
 
Kwa mujibu wa kanuni zinazoendesha bodi ya Ligi, hizi ndizo sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo wa Ligi kuu kuahirishwa.

KANUNI YA 9
KUAHIRISHA MCHEZO
Mchezo unaweza kuahirishwa kutokana na sababu yoyote kati ya zifuatazo:-
(a) Endapo timu ina wachezaji watano au zaidi katika timu ya Taifa;
(b) Endapo timu inashiriki katika mashindano ya Kimataifa na ina muda usiozidi siku sita kufikia mchezo wa Kimataifa;
(c) Sababu yoyote ya dharura nzito na yenye msingi itakayokubaliwa na TFF
(d) Mchezo wowote ulioahirishwa utapangwa tena katika tarehe itakayoamuliwa na TFF isipokuwa kama ni dharura ya mvua au dharura yoyote nyingine basi mchezo huo utachezwa siku inayofuata iwapo ratiba inaruhusu
(e) Iwapo mchezo ulishaanza na kuvunjika kwa sababu ya mvua au dharura yoyote nyingine; magoli yaliyofungwa katika mchezo huo yataendelea kuwekwa katika idadi ya magoli yaliyofungwa na wachezaji binafsi lakini si katika idadi ya magoli ya timu. Kadhalika kadi walizoonyeshwa wachezaji katika mchezo ulioahirishwa au uliovunjika zitaendelea kuhesabika.
(f) Taarifa ya maombi ya kuahirisha mchezo ni lazima itolewe kwa maandishi si chini ya siku 14 kabla ya siku ya mchezo, isipokuwa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa binadamu.

Katika kanuni hii, Sijaona kipengele kwamba mchezo unaweza kuahirishwa kwa sababu ya timu pinzani kunyimwa kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja husika.Tumeshuhudia michezo na figisu nyingi katika michezo ya CAF ikiwemo wachezaji kupuliziwa madawa katika vyumba vya kubadilishia, wachezaji kuvamiwa hotelini nk. Lakini haujawahi kusikia mchezo wa CAF umeahirishwa kwa sababu hizo, sanasana hatua huchukuliwa baada ya mchezo ila mchezo husika huachwa umalizike kwani kwa kusimamisha mchezo husika madhara ni makubwa zaidi.Je, nani atarejesha gharama za tiketi, malazi ya hoteli, wafanyabiashara mbalimbali waliowekeza kwa ajili ya mchezo tarehe husika?.Ni mara chache sana mchezo ukaahirishwa. Ninaamini pia sababu hizohizo ndizo zilipelekea mchezo kati ya Pamba na Simba kuruhusiwa kuchezwa licha ya kuwepo kasoro kadha wa kadha, Ndivyo hivyo mchezo wa JKT Queens ambapo bodi ya Ligi haikuamua kuhamisha mchezo huo tarehe nyingine bali ilitoa adhabu hapo hapo, na mchezo ulihesabiwa na JKT Queens waliadhibiwa vikali. Naamini sababu hizohizo ndizo zilizoiadhibu Biashara utd.

Kama mchezo unaweza kuahirishwa bila sababu ya msingi, na TPLB wakaona ni sawa, Itafika wakati timu ya ligi haitakuwa tayari kwa mchezo itatafuta sababu yoyote na Bodi itabariki kwa kusogeza tarehe mbele.

Hii inaondoa kabisa ile lengo la kanuni kwamba "Timu isipofika uwanjani, basi timu pinzani itapatiwa alama 3 na magoli 3. Sasa kanuni hii ina maana gani kama kuna uwezekano wa kukaa na kuyamaliza na mchezo ukapangwa wakati mwingine, Kanuni hii ina maana gani?

Bodi ya Ligi inapaswa kujitafakari sana. Ninyi ndiyo mnaotunga kanuni na nyie ndiyo wa kwanza kuvunja kanuni.
Icho ndicho nilichosema kwamba bodi ya ligi imejivua nguo na imeingia kwenye mtego mbaya sana na yanga awatopeleka timu uwanjani tuone watatumia kanuni gani
 
Matimu yote mawili ni ya hovyo na viongozi nao hovyo. Mwaka 2021 yanga iligoma kucheza mechi ya derby baada ya muda kusogezwa mbele . Mechi ikabidi iailishwe na kuathiri mashabiki. Lakini bado hawajajifunza leo tena inatokea.
 
Matimu yote mawili ni ya hovyo na viongozi nao hovyo. Mwaka 2021 yanga iligoma kucheza mechi ya derby baada ya muda kusogezwa mbele . Mechi ikabidi iailishwe na kuathiri mashabiki. Lakini bado hawajajifunza leo tena inatokea.
Bora ile ya yanga ilikuwa na sababu kikanuni taarifa ya mabadiliko ya muda wa mchezo inatakiwa kutolewa ndani ya saa 24. Ila hili la kususia mchezo kisa kunyimwa mazoezi ni maajabu na haipo katika kanuni, kikanuni mchezo ulipaswa kuendelea na hatua kuchukuliwa baada ya mchezo
 
Kwa mujibu wa kanuni zinazoendesha bodi ya Ligi, hizi ndizo sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo wa Ligi kuu kuahirishwa.

KANUNI YA 9
KUAHIRISHA MCHEZO
Mchezo unaweza kuahirishwa kutokana na sababu yoyote kati ya zifuatazo:-
(a) Endapo timu ina wachezaji watano au zaidi katika timu ya Taifa;
(b) Endapo timu inashiriki katika mashindano ya Kimataifa na ina muda usiozidi siku sita kufikia mchezo wa Kimataifa;
(c) Sababu yoyote ya dharura nzito na yenye msingi itakayokubaliwa na TFF
(d) Mchezo wowote ulioahirishwa utapangwa tena katika tarehe itakayoamuliwa na TFF isipokuwa kama ni dharura ya mvua au dharura yoyote nyingine basi mchezo huo utachezwa siku inayofuata iwapo ratiba inaruhusu
(e) Iwapo mchezo ulishaanza na kuvunjika kwa sababu ya mvua au dharura yoyote nyingine; magoli yaliyofungwa katika mchezo huo yataendelea kuwekwa katika idadi ya magoli yaliyofungwa na wachezaji binafsi lakini si katika idadi ya magoli ya timu. Kadhalika kadi walizoonyeshwa wachezaji katika mchezo ulioahirishwa au uliovunjika zitaendelea kuhesabika.
(f) Taarifa ya maombi ya kuahirisha mchezo ni lazima itolewe kwa maandishi si chini ya siku 14 kabla ya siku ya mchezo, isipokuwa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa binadamu.

Katika kanuni hii, Sijaona kipengele kwamba mchezo unaweza kuahirishwa kwa sababu ya timu pinzani kunyimwa kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja husika.Tumeshuhudia michezo na figisu nyingi katika michezo ya CAF ikiwemo wachezaji kupuliziwa madawa katika vyumba vya kubadilishia, wachezaji kuvamiwa hotelini nk. Lakini haujawahi kusikia mchezo wa CAF umeahirishwa kwa sababu hizo, sanasana hatua huchukuliwa baada ya mchezo ila mchezo husika huachwa umalizike kwani kwa kusimamisha mchezo husika madhara ni makubwa zaidi.Je, nani atarejesha gharama za tiketi, malazi ya hoteli, wafanyabiashara mbalimbali waliowekeza kwa ajili ya mchezo tarehe husika?.Ni mara chache sana mchezo ukaahirishwa. Ninaamini pia sababu hizohizo ndizo zilipelekea mchezo kati ya Pamba na Simba kuruhusiwa kuchezwa licha ya kuwepo kasoro kadha wa kadha, Ndivyo hivyo mchezo wa JKT Queens ambapo bodi ya Ligi haikuamua kuhamisha mchezo huo tarehe nyingine bali ilitoa adhabu hapo hapo, na mchezo ulihesabiwa na JKT Queens waliadhibiwa vikali. Naamini sababu hizohizo ndizo zilizoiadhibu Biashara utd.

Kama mchezo unaweza kuahirishwa bila sababu ya msingi, na TPLB wakaona ni sawa, Itafika wakati timu ya ligi haitakuwa tayari kwa mchezo itatafuta sababu yoyote na Bodi itabariki kwa kusogeza tarehe mbele.

Hii inaondoa kabisa ile lengo la kanuni kwamba "Timu isipofika uwanjani, basi timu pinzani itapatiwa alama 3 na magoli 3. Sasa kanuni hii ina maana gani kama kuna uwezekano wa kukaa na kuyamaliza na mchezo ukapangwa wakati mwingine, Kanuni hii ina maana gani?

Bodi ya Ligi inapaswa kujitafakari sana. Ninyi ndiyo mnaotunga kanuni na nyie ndiyo wa kwanza kuvunja kanuni.
Kwako wewe hii ni mara yako ya kwanza kuona mchezo unaahirishwa
 
Kwa mujibu wa kanuni zinazoendesha bodi ya Ligi, hizi ndizo sababu pekee zinazoweza kusababisha mchezo wa Ligi kuu kuahirishwa.

KANUNI YA 9
KUAHIRISHA MCHEZO
Mchezo unaweza kuahirishwa kutokana na sababu yoyote kati ya zifuatazo:-
(a) Endapo timu ina wachezaji watano au zaidi katika timu ya Taifa;
(b) Endapo timu inashiriki katika mashindano ya Kimataifa na ina muda usiozidi siku sita kufikia mchezo wa Kimataifa;
(c) Sababu yoyote ya dharura nzito na yenye msingi itakayokubaliwa na TFF
(d) Mchezo wowote ulioahirishwa utapangwa tena katika tarehe itakayoamuliwa na TFF isipokuwa kama ni dharura ya mvua au dharura yoyote nyingine basi mchezo huo utachezwa siku inayofuata iwapo ratiba inaruhusu
(e) Iwapo mchezo ulishaanza na kuvunjika kwa sababu ya mvua au dharura yoyote nyingine; magoli yaliyofungwa katika mchezo huo yataendelea kuwekwa katika idadi ya magoli yaliyofungwa na wachezaji binafsi lakini si katika idadi ya magoli ya timu. Kadhalika kadi walizoonyeshwa wachezaji katika mchezo ulioahirishwa au uliovunjika zitaendelea kuhesabika.
(f) Taarifa ya maombi ya kuahirisha mchezo ni lazima itolewe kwa maandishi si chini ya siku 14 kabla ya siku ya mchezo, isipokuwa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa binadamu.

Katika kanuni hii, Sijaona kipengele kwamba mchezo unaweza kuahirishwa kwa sababu ya timu pinzani kunyimwa kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja husika.Tumeshuhudia michezo na figisu nyingi katika michezo ya CAF ikiwemo wachezaji kupuliziwa madawa katika vyumba vya kubadilishia, wachezaji kuvamiwa hotelini nk. Lakini haujawahi kusikia mchezo wa CAF umeahirishwa kwa sababu hizo, sanasana hatua huchukuliwa baada ya mchezo ila mchezo husika huachwa umalizike kwani kwa kusimamisha mchezo husika madhara ni makubwa zaidi.Je, nani atarejesha gharama za tiketi, malazi ya hoteli, wafanyabiashara mbalimbali waliowekeza kwa ajili ya mchezo tarehe husika?.Ni mara chache sana mchezo ukaahirishwa. Ninaamini pia sababu hizohizo ndizo zilipelekea mchezo kati ya Pamba na Simba kuruhusiwa kuchezwa licha ya kuwepo kasoro kadha wa kadha, Ndivyo hivyo mchezo wa JKT Queens ambapo bodi ya Ligi haikuamua kuhamisha mchezo huo tarehe nyingine bali ilitoa adhabu hapo hapo, na mchezo ulihesabiwa na JKT Queens waliadhibiwa vikali. Naamini sababu hizohizo ndizo zilizoiadhibu Biashara utd.

Kama mchezo unaweza kuahirishwa bila sababu ya msingi, na TPLB wakaona ni sawa, Itafika wakati timu ya ligi haitakuwa tayari kwa mchezo itatafuta sababu yoyote na Bodi itabariki kwa kusogeza tarehe mbele.

Hii inaondoa kabisa ile lengo la kanuni kwamba "Timu isipofika uwanjani, basi timu pinzani itapatiwa alama 3 na magoli 3. Sasa kanuni hii ina maana gani kama kuna uwezekano wa kukaa na kuyamaliza na mchezo ukapangwa wakati mwingine, Kanuni hii ina maana gani?

Bodi ya Ligi inapaswa kujitafakari sana. Ninyi ndiyo mnaotunga kanuni na nyie ndiyo wa kwanza kuvunja kanuni.
Kanuni ya Busara hii Iko Tanzania tu
 
Kilichotokea leo ni ujinga na uhuni na ni uthibitisho wa ombwe kubwa la uongozi tulilonalo.Soka la nchi hii tumewaachia wahuni waliendeshe na haya ndio matunda yake.Ni bora kubaki kushabikia timu za ulaya zinazosimamiws na Watu wanaojitambua na kuheshimiana sio huu upuuzi wa Simba na Yanga.Hakika mnakera na mnakosa heshima kwa Mashabiki.Si Simba si Yanga wote mnaleta sababu za kitoto kana kwamba nasi Mashabiki ni Watoto wenzenu.Mimi ni Simba lakini nitaridhia tukipoteza pointi tatu zote kama adhabu.Mnawaponza na Wachezaji wasio hatia,wamejiandaa alafu kirahisi tu mechi hakuna.Tungekuwa na Viongozi makini kusingekuwa na huu ujinga ujinga.
 
Sijaona kuna kanuni gani hapo inayosema mchezo unatakiwa kuahirishwa. Mbona mchezo wa JKT Queens haukuahirishwa? Vipi mchezo wa Boashara utd? Pamba?

NB; kama haujui, mchezo hautakiwi kusimamishwa, lazima mchezo uchezwe ila hatua na adhabu hufuata baada ya mchezo.
Adhabu gani na nani huyo atapewa adhabu?
Halafu kanuni zinageuzwa tu kutokana kutoendana na muda husika
 
Adhabu gani na nani huyo atapewa adhabu?
Halafu kanuni zinageuzwa tu kutokana kutoendana na muda husika
Adhabu ya kufanya usumbufu wowote kupelekea timu pinzani kushindwa kufanya mazoezi ni Tsh 1 milion mpaka 5 million, Lakini hayo yote hufanyika na kamati ya saa 72 BAADA ya mchezo husika (sio kabla ) Kwa maana nyingine LAZIMA mchezo uchezwe kwanza, Haya hiyo kanuni ya kusena mchezo hauchezwi Bodi ya Ligi imetoa wapi?
 
Back
Top Bottom