ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Sisi tuna mambo ya kingese sana kwenye mpira wetu hasa kupanga ratiba....jambo lakujirudia rudia tuu.Ligi nyingi kubwa Duniani ziliisha karibu wiki tatu sasa sie bado labda hadi mwisho wa mwezi huu ndio inasemekana tutamaliza...
Mkuu salam kwako. Hebu angalia kidogo hii ratiba ya Ligi ya MisriLigi nyingi kubwa Duniani ziliisha karibu wiki tatu sasa sie bado labda hadi mwisho wa mwezi huu ndio inasemekana tutamaliza!
Hii ni shida,tuombe hili lisijirudie tena msimu mpya ujao,
Unakuta timu inacheza leo mechi inayofuata ni baada ya siku 10! Ukiangalia sababu ya maana hata huioni
Akina Konate,ander herera wapo nchini kutalii wanatushangaa tunaendelea na ligi..wakati wao ndio hasa huko kwao covid ndio ilisumbua sana
Haya hapa kwetu leo tarehe 17 timu zetu zimebakiza mechi tatu tatu mechi nne nne..lakini hadi sasa ratiba kamili ya kueleweka hakuna!
Tuombe bodi ya ligi tuondoleeni usumbufu huu haya yasijirudie.
Mimi sijaongelea hao na tena ndio wale wale tuMkuu salam kwako. Hebu angalia kidogo hii ratiba ya Ligi ya Misri
Na kwa hawa wamisri unasemaje?
Ahsante
Unaungwa mkono na Mimi kwa 100%Ligi nyingi kubwa Duniani ziliisha karibu wiki tatu sasa sie bado labda hadi mwisho wa mwezi huu ndio inasemekana tutamaliza!
Hii ni shida,tuombe hili lisijirudie tena msimu mpya ujao,
Unakuta timu inacheza leo mechi inayofuata ni baada ya siku 10! Ukiangalia sababu ya maana hata huioni
Akina Konate,ander herera wapo nchini kutalii wanatushangaa tunaendelea na ligi..wakati wao ndio hasa huko kwao covid ndio ilisumbua sana
Haya hapa kwetu leo tarehe 17 timu zetu zimebakiza mechi tatu tatu mechi nne nne..lakini hadi sasa ratiba kamili ya kueleweka hakuna!
Tuombe bodi ya ligi tuondoleeni usumbufu huu haya yasijirudie.
mwezi wote wa 5 hakuna mechi iliyochezwa eti kwa sababu wachezaji wameitwa timu ya taifa wakati wachezaji wa sub wapo kibao tu,makipa wa sub ,mabeki, midfielders,washambuliaji wapo tu kibao hata hivo key players mbali na simba na yanga hizi timu ndogo walioitwa wachache sana bado mechi inaahirishwa,Simba ilicheza kimataifa bila viporo waliporudi bado wachezaji walicheza.Sisi tuna mambo ya kingese sana kwenye mpira wetu hasa kupanga ratiba....jambo lakujirudia rudia tuu.
Hii kwanza inatokana na ujinga wa mara timu ya taifa ipewe muda wa kujiandaa, mara mtu mechi yake iarishwe kisa mechi za caf.
Tunalalamika vilabu vyetu havina hela but yet ligi letu linaenda kwa muda mrefu hivyo timu zinaingia gharama ambazo zinaepukika kwa mpangilio mzuri wa ratiba. Ligi zina timu 20 sie timu 16 lakini sie ndio tunachelewa kumaliza kwa sababu ya maamuzi ya kijinga.
Jambo lengine ni kwamba hii anaharibu wachezaji wetu...mchezaji anakuwa na mapumziko kibao. Sasa huyu ana shindana vipi na mchezaji ambaye anatwanga saturday, tuesday na saturday tena? Tunahitaji upangaji mzuri wa ratiba. Ona sasa caf walishatia tarehe za mechi za champions league. August 12 sie huku sii ajabu timu bado zitakuwa wapo katikati ya pre season.
Alafu hao hao tunasema vilabu vyetu havina hela wakati ligi tunairefusha.mwezi wote wa 5 hakuna mechi iliyochezwa eti kwa sababu wachezaji wameitwa timu ya taifa wakati wachezaji wa sub wapo kibao tu,makipa wa sub ,mabeki, midfielders,washambuliaji wapo tu kibao hata hivo key players mbali na simba na yanga hizi timu ndogo walioitwa wachache sana bado mechi inaahirishwa,Simba ilicheza kimataifa bila viporo waliporudi bado wachezaji walicheza.
Je hao key players walioenda timu ya taifa wangepata injuries ligi ingesimama? Jibu ni hapana , sasa why ligi isimame kwa ajili ya taifa stars yenyewe ya kuunga unga.
Pia kuokoa mda timu zinapoenda mikoani hadi mikoa kwanini wasipange round ziishe huko huko kuokoa mda ,siyo timu inatoka Mtwara kwenda Mbeya kucheza na mbeya city baada ya game wamalizane na mbeya kwanza ndo waende dar, mfano unakuta Mtibwa anatoka moro kwenda kucheza na mbeya ,akimaliza anarudi Dar kucheza na KMC akimaliza anarudiswa tena mbeya ,huu ni upumbavu sana
timu 12 ingekuwa poa sana,ligi ingekuwa kali mno ,tatizo ligi inaweza isha mapema wakati nchi zingine hata round ya kwanza badoNa mwaka huu ndiyo wamefanikiwa Sasa🤣🤣........hakuna Viporo kabisa.
Binafsi Kwa Tz ili ligi iwe bora timu ziwe 12 hapo tunaweza pata ushindani bora na ligi kuisha Kwa muda
Inapangiliwa tu vizuri,kinapigwa weekend Kwa weekend......timu inasafiri comfortably kabisatimu 12 ingekuwa poa sana,ligi ingekuwa kali mno ,tatizo ligi inaweza isha mapema wakati nchi zingine hata round ya kwanza bado
Miundombinu yetu bado sio rafiki kama ya huko duniani hivyo hiyo sababu ina mashiko.Hili tatizo ni kila mwaka, ila watakuambia kuhusu tatizo la usafiri kwani kuna timu zinatumia mabasi 😂 eg. Namungo, watoke lindi mpaka geita.
Lakin pia naona uzembe kwenye upangaj wa mechi
Mi nakerwa sana na baadhi ya timu kuchagua viwanja tofauti na viwanja vyao rasmi, na hasa wanapocheza na Simba au Yanga. Naona ni kuchoshana tu, na tamaa ya kupata pesa nyingi. Kama ni hivyo, basi vilabu viwe vinagawana mapato ya viingilio, bila kutofautisha mwenyeji, au mgeni.Miundombinu yetu bado sio rafiki kama ya huko duniani hivyo hiyo sababu ina mashiko.
Ligi ya Tunis mpaka sasa bado haijaisha na bado raundi tatu. Ligi ya Congo ndio bado kabisaaa. Ligi ya Morocco bado raundi tano, ligi ya Misri bado kabisa, ligi ya Nigeria bado,timu 12 ingekuwa poa sana,ligi ingekuwa kali mno ,tatizo ligi inaweza isha mapema wakati nchi zingine hata round ya kwanza bado
Tunia ligi yao ipo kama ya belgium ,mizunguko ikiisha wale top six wanakipiga tena bingwa apatikaneLigi ya Tunis mpaka sasa bado haijaisha na bado raundi tatu. Ligi ya Congo ndio bado kabisaaa. Ligi ya Morocco bado raundi tano, ligi ya Misri bado kabisa, ligi ya Nigeria bado,
Saivi si ndio ipo raundi ya mwisho hiyo bado game tatu tatu tuTunia ligi yao ipo kama ya belgium ,mizunguko ikiisha wale top six wanakipiga tena bingwa apatikane
Utasikian mechi imeahirishwa kwa sababu rais alikuwa na mambo mengi na alitaka ahudhurie au mechi imesogezwa mbele kwa kuwa ambulance INA rangi nyeusi sio nyeupe tulioizoea.Sisi tuna mambo ya kingese sana kwenye mpira wetu hasa kupanga ratiba....jambo lakujirudia rudia tuu.
Hii kwanza inatokana na ujinga wa mara timu ya taifa ipewe muda wa kujiandaa, mara mtu mechi yake iarishwe kisa mechi za caf.
Tunalalamika vilabu vyetu havina hela but yet ligi letu linaenda kwa muda mrefu hivyo timu zinaingia gharama ambazo zinaepukika kwa mpangilio mzuri wa ratiba. Ligi zina timu 20 sie timu 16 lakini sie ndio tunachelewa kumaliza kwa sababu ya maamuzi ya kijinga.
Jambo lengine ni kwamba hii anaharibu wachezaji wetu...mchezaji anakuwa na mapumziko kibao. Sasa huyu ana shindana vipi na mchezaji ambaye anatwanga saturday, tuesday na saturday tena? Tunahitaji upangaji mzuri wa ratiba. Ona sasa caf walishatia tarehe za mechi za champions league. August 12 sie huku sii ajabu timu bado zitakuwa wapo katikati ya pre season.