ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ligi nyingi kubwa Duniani ziliisha karibu wiki tatu sasa sie bado labda hadi mwisho wa mwezi huu ndio inasemekana tutamaliza!
Hii ni shida, tuombe hili lisijirudie tena msimu mpya ujao, unakuta timu inacheza leo mechi inayofuata ni baada ya siku 10! Ukiangalia sababu ya maana hata huioni.
Akina Konate,ander herera wapo nchini kutalii wanatushangaa tunaendelea na ligi..wakati wao ndio hasa huko kwao covid ndio ilisumbua sana
Haya hapa kwetu leo tarehe 17 timu zetu zimebakiza mechi tatu tatu mechi nne nne..lakini hadi sasa ratiba kamili ya kueleweka hakuna!
Tuombe bodi ya ligi tuondoleeni usumbufu huu haya yasijirudie.
Hii ni shida, tuombe hili lisijirudie tena msimu mpya ujao, unakuta timu inacheza leo mechi inayofuata ni baada ya siku 10! Ukiangalia sababu ya maana hata huioni.
Akina Konate,ander herera wapo nchini kutalii wanatushangaa tunaendelea na ligi..wakati wao ndio hasa huko kwao covid ndio ilisumbua sana
Haya hapa kwetu leo tarehe 17 timu zetu zimebakiza mechi tatu tatu mechi nne nne..lakini hadi sasa ratiba kamili ya kueleweka hakuna!
Tuombe bodi ya ligi tuondoleeni usumbufu huu haya yasijirudie.