Bodi ya Ligi mjitafakari upangaji Ratiba za Mechi

Bodi ya Ligi mjitafakari upangaji Ratiba za Mechi

Utasikian mechi imeahirishwa kwa sababu rais alikuwa na mambo mengi na alitaka ahudhurie au mechi imesogezwa mbele kwa kuwa ambulance INA rangi nyeusi sio nyeupe tulioizoea.
Upuuzi mtupu
Tunamaajabu yetu sie acha tuu. Ndio maana sometimes mzungu akituita manyani nasemaga poa tuu maana jinsi tunavyofikiri na kufanya mambo yetu unabaki kushangaaa tuu.

Mtu anacheza moshi on sunday...wednesday anatakiwa acheze fa cup dar then sunday akacheze sauz, upuuzi eti tunasema mechi ya wednesday asicheze. Why asicheze? The more matches a player plays the better he becomes. Wataalam wetu wanatuangusha sana.

Sasa wee ngoja uone vichekesho vya mashindano ya caf msimu ujao
 
mwezi wote wa 5 hakuna mechi iliyochezwa eti kwa sababu wachezaji wameitwa timu ya taifa wakati wachezaji wa sub wapo kibao tu,makipa wa sub ,mabeki, midfielders,washambuliaji wapo tu kibao hata hivo key players mbali na simba na yanga hizi timu ndogo walioitwa wachache sana bado mechi inaahirishwa,Simba ilicheza kimataifa bila viporo waliporudi bado wachezaji walicheza.

Je hao key players walioenda timu ya taifa wangepata injuries ligi ingesimama? Jibu ni hapana , sasa why ligi isimame kwa ajili ya taifa stars yenyewe ya kuunga unga.

Pia kuokoa mda timu zinapoenda mikoani hadi mikoa kwanini wasipange round ziishe huko huko kuokoa mda ,siyo timu inatoka Mtwara kwenda Mbeya kucheza na mbeya city baada ya game wamalizane na mbeya kwanza ndo waende dar, mfano unakuta Mtibwa anatoka moro kwenda kucheza na mbeya ,akimaliza anarudi Dar kucheza na KMC akimaliza anarudiswa tena mbeya ,huu ni upumbavu sana
Kweli kabisa mtu akienda kanda ya ziwa aanze bukoba apite geita akamalizie mara akirudi home anapiga game mbili anaenda mkoa jirani anapiga safi tu

Anayekipiga jumamosi akipige na jumatano anayekipiga jumapili akipige na alhamisi

Waache visingizio vya ukata Azam na NBC wanatoa pesa ya kutosha kwa hizi timu zetu
 
Back
Top Bottom