Bodi ya ligi msipuuzie hali kwenye vyumba vya kubadilishia nguo wachezaji

Bodi ya ligi msipuuzie hali kwenye vyumba vya kubadilishia nguo wachezaji

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Timu ngeni hazitaki kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo viwanjani kwa kuhofia hujuma. TFF msipuuzie jambo hili, lisemwalo lipo kama halipo linakuja.

Lazima Kuna ukweli fulani, kwani timu ziko radhi kupigwa faini kuliko kuingia vyumbani?
 
Ni Tanzania Haya Tu Labda Wenzetu Huko Vp
 
Timu ngeni hazitaki kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo viwanjani kwa kuhofia hujuma. TFF msipuuzie jambo hili, lisemwalo lipo kama halipo linakuja.

Lazima Kuna ukweli fulani, kwani timu ziko ladhi kupigwa faini kuliko kuingia vyumbani?
TFF nap ni wahusika wa mchezo huo
 
Nafikiri wakati Eymael anatoa ile kauli alikuwa anamlenga moja kwa moja huyu mtoa mada
Kama coastal union wangekubali kuingia vyumba vya kubadilishia nguo wangepokea kichapo Toka kwa Simba. Huu sio utani nakwambia. Simba wanaposema kuwa kwa Mkapa hatoki mtu Wana maana Yao.
 
Back
Top Bottom