Bodi ya ligi na TFF wanaionea Yanga, ila tutafika maana sisi ni watetezi halisi wa nchi hii

Bodi ya ligi na TFF wanaionea Yanga, ila tutafika maana sisi ni watetezi halisi wa nchi hii

💥 Wananchi wako Mwanza now...
Kifupi Yanga wana ratiba ngumu sana ni vile tu wako bora na wanashinda mechi.. Wangekuwa wanafungwa au kutoa sare sauti zingekuwa zimeshasikika mtaani!

Tuwaombee...🙏
Hawatendewi haki kabisa...
Mechi na geita bila penati ya mchongo ngoma si ilikuwa pacha ile
 
Yanga ina kikosi bora na kipana wewe! Wala haiwezi kuyumbushwa na huo ufinyu wa muda.

Ni tofauti kabisa na nyinyi mnaomtegemea Kibu Denis!
Kwani nani ameleta huu uzi wa kulia lia hapa kuwa mnaonewa? Tukisema hamna akili mnasema mnatukanwa.
 
Wananchi wako Mwanza now.

Kifupi Yanga wana ratiba ngumu sana ni vile tu wako bora na wanashinda mechi. Wangekuwa wanafungwa au kutoa sare sauti zingekuwa zimeshasikika mtaani!

Tuwaombee. Hawatendewi haki kabisa.
Mpo kombe la loser alafu mnapiga kelele.
 
Yaani wewe ni mpumbavu, unatoka Tunisia unapita Dubai kuzurura unataka nani akuonee huruma. Niwaulize Dubai mlipita kufanya Nini Kama siyo ushamba?
ficha ujinga wako mkuu. hakuna ndege ya moja kwa moja kwenda tunisia kwakuwa walisafiria ndege ya abiria ilikuwa lazima wapite dubai
mambo mengine unatakiwa utafakari kwanza kabla ya kupayuka tuu
 
TFF kama mlezi wa vilabu vyote, inatakiwa kusimama kanuni za mpira wa miguu kwa haki. Inapo kengeuka na kuegemea upande mmoja, hakika tutapaza tu sauti zetu.
Ila mnapopata ushindi wa mchongo mnapaza sauti pia eeeeeh
 
Kwani nani ameleta huu uzi wa kulia lia hapa kuwa mnaonewa? Tukisema hamna akili mnasema mnatukanwa.
Sasa kinachofanya mnajiliza ni nini
Maswali mengine bhana!! Kwa hiyo mtu akija humu jukwaani na mada yake inayoihusu Yanga kuhusu ufinyu wa muda, basi mtu huyo anawakilisha mawazo ya watu wote wanao fungamana na Yanga!!

Kweli akili ni nywele.
 
Maswali mengine bhana!! Kwa hiyo mtu akija humu jukwaani na mada yake inayoihusu Yanga kuhusu ufinyu wa muda, basi mtu huyo anawakilisha mawazo ya watu wote wanao fungamana na Yanga!!

Kweli akili ni nywele.
Mbona Simba Mnyama huwa hatulii lii na kuiraumu Tff wakati tuko robo fainali zote za Caf
 
Back
Top Bottom