Bodi ya ligi walishafafanua "top scorer" anapatikanaje

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Moja kwa moja kwenye mada.

Refer msimu uliyopita wakati wa battle ya Mayele na G.Mpole.
Bodi ya ligi walifafanua tayar hili suala.

Kinachoendelea sasa ni watu kulazimisha kupindisha taratibu kutokana na hisia. Haiwezekani taratibu zipindishwe kutokana na matukio.

Huo ndo msimamo wa bodi ya ligi, mengine ni blah blah tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…