Bodi ya ligi ya NBC PL, na hili nalo mkalitizame

Hapo mechi ya ruvu na kmc ni away kwa maneno tu lakini kiuhalisia mechi zote zinapigwa hapohapo kwa mkapa.
 
Hii timu isha kua ya kulalamika kila kitu
 
Nachokilalamika hapa, ni Simba SC kucheza mechi 7 ugenini, na si kucheza mechi kila baada ya siku 3. Lini Yanga kacheza au atacheza mechi 7 mfululizo ugenini?
Mkuu mimi naliona tofauti. Huo ni mwendelezo wa TFF Simba kuitafutia ubingwa Simba. Kwani Round ya pili ambayo inakuwaga ngumu zaidi Simba watakuwa na game nyingi nyumbani.
 
Umeiangalia ratiba ya Ihefu?
 
Nachokilalamika hapa, ni Simba SC kucheza mechi 7 ugenini, na si kucheza mechi kila baada ya siku 3. Lini Yanga kacheza au atacheza mechi 7 mfululizo ugenini?
Kwaiyo point yako ni yanga nae acheze mechi 7 mfululizo ugenini?
 
Ni kweli Mkuu. Bodi ya ligi walitakiwa walione hili mapema. Athari ya hili inaweza tokea katika group stages za CAFCL.
Wengine tuliongea Simba alipoanza mechi 4 mfululizo nyumbani tukaonekana sisi ni Yanga. Kila mara nasema Mimi nilibahatika kukwepa mtego wa Kariakoo Syndrome, kwa hiyo ni shabiki huru kwa Simba na Yanga. Ratiba inapotoka tuwe tunakosoa, lakini nilipojaribu niliambiwa, "Bodi inajua kila kitu, wewe ni nani?"
 
Ndivyo walivyo hawa jamaa zetu. Ukikosoa ubora wa marefa wanakushambulia kama siku iyo alifanya mamuzi yaliyowabeba ila ikitokea mpinzani kanufaika na maamuzi mabaya ya refa wanasema kapewa bahasha
 
Ni kweli Mkuu.. Kumbuka Simba akimaliza kucheza na Mbeya City jiini Mbeya itabidi aanze safari ya kuelekea kuwatafuta Prisons. Akimalizana nao anaelekea Tanga, kuwatafuta Costal. Hiii si nzuri kwa afya ya wachezaji.
Mbeya city na prison wanatumia uwanja mmoja kwahiyo hakutakuwa na safari yoyote zaidi ya kupasha pasha wakisubiri siku ya mechi.
 
Nachokilalamika hapa, ni Simba SC kucheza mechi 7 ugenini, na si kucheza mechi kila baada ya siku 3. Lini Yanga kacheza au atacheza mechi 7 mfululizo ugenini?
Mmecheza mechi ngapi nyumbani mpaka sasa? Au ndioooo.......
 
Mkuu mimi naliona tofauti. Huo ni mwendelezo wa TFF Simba kuitafutia ubingwa Simba. Kwani Round ya pili ambayo inakuwaga ngumu zaidi Simba watakuwa na game nyingi nyumbani.
Na raundi ya pili ianze tu.
 
Ruvu na KMC wote nadhani wapo Dar . Ingawa upangaji huu si mzuri. Tatizo Yanga alilalamika hili Kwa kuanza ligi away mfululizo mkawacheka, kipindi hicho mnacheza home mfululizo.
 
Hili la ratiba bado Sana hata hivo simba amecheza mechi nyingi nyumbani
 
Nachokilalamika hapa, ni Simba SC kucheza mechi 7 ugenini, na si kucheza mechi kila baada ya siku 3. Lini Yanga kacheza au atacheza mechi 7 mfululizo ugenini?
Wakati mnacheza game 9 DAR mbona haukuja jukwaani kulalamika? maana mpaka sasa mmeenda mikoani game 2 tu ya Singida na Prisons,
 
Wakati mnacheza game 9 DAR mbona haukuja jukwaani kulalamika? maana mpaka sasa mmeenda mikoani game 2 tu ya Singida na Prisons,

Inshu hapa ni kwamba, ni kwanini bodi ya ligi wanashindwa kupanga ratiba yao vyema mpaka upuuzi kama huu unajitokeza. Kuchelewa kwangu kuja jukwaani kulalamika hakuondoi ukwelli kua bodi ya ligi walipuyanga katika hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…