Bodi ya Ligi yaitisha kikao cha dharura kujadili malalamiko ya Simba SC na kususia mechi ya dabi

Bodi ya Ligi yaitisha kikao cha dharura kujadili malalamiko ya Simba SC na kususia mechi ya dabi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kufuatia kile ambacho kimetokea usiku wa wa jana kwa Simba SC kuzuiwa kufanya mazoezi katika Uwanja wa Mkapa, na kueleza hawatashiriki mchezo wa Dabi ya dhidi ya Yanga SC.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Mzee Steven Mguto ambaye amefunguka kwamba kamati ya usimamizi na uendeshaji wa Ligi Kuu inakutana asubuhi hii kujadili malalamiko ya Simba.


Credit: EFM Tanzania

Pia, Soma
 
Kufuatia kile ambacho kimetokea usiku wa wa jana kwa Simba SC kuzuiwa kufanya mazoezi katika Uwanja wa Mkapa, na kueleza hawatashiriki mchezo wa Dabi ya dhidi ya Yanga SC.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Mzee Steven Mguto ambaye amefunguka kwamba kamati ya usimamizi na uendeshaji wa Ligi Kuu inakutana asubuhi hii kujadili malalamiko ya Simba.
View attachment 3263192

Credit: EFM Tanzania

Pia, Soma
Simba inadeka sana
Simba imeenda na wahuni uwanjani, wakijidai ni makomandoo wa Yanga
Simba ni wachawi
Simba maneno mengi, uwezo kisoda
Simba ni kama Zuchu tu, wamekula nauli, wamekula ya kutolea na ghetto wamegoma kuja.
 
Simba inadeka sana
Simba imeenda na wahuni uwanjani, wakijidai ni makomandoo wa Yanga
Simba ni wachawi
Simba maneno mengi, uwezo kisoda
Simba ni kama Zuchu tu, wamekula nauli, wamekula ya kutolea na ghetto wamegoma kuja.
Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.
 
Simba ni wadhaifu mno, wanadeka ila KIPIGO KIPO PALEPALE
Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.
 
Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.
Wajinga aina yako ndiyo huleta mambo ya ccm kwenye jukwaa la michezo 💩💩💩
 
Screenshot_20250308_095909_Instagram.jpg
 
Kufuatia kile ambacho kimetokea usiku wa wa jana kwa Simba SC kuzuiwa kufanya mazoezi katika Uwanja wa Mkapa, na kueleza hawatashiriki mchezo wa Dabi ya dhidi ya Yanga SC.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Mzee Steven Mguto ambaye amefunguka kwamba kamati ya usimamizi na uendeshaji wa Ligi Kuu inakutana asubuhi hii kujadili malalamiko ya Simba.
View attachment 3263192

Credit: EFM Tanzania

Pia, Soma
Uhoga wa mechi😁
 
Wajinga aina yako ndiyo huleta mambo ya ccm kwenye jukwaa la michezo [emoji90][emoji90][emoji90]
Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.
 
Wajinga aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Bila CCM kua na wajinga wengi wa aina yako basi ingekua imeshakufa zamani. Hivyo ccm inawahitaji sana wajinga wengi aina yako ili uendelee ku-survive madarakani.
NYIE WENYE AKILI SI MPO?? MBONA HAMUIUI?
 
Mtaji wa ccm mjinga mwingine huyu, badala ku address tatizo lililotokea na hatua stahiki za kuchukua, yeye anasisitiza kuchezwa kwa mechi, kwa mana ya kwamba inajulikana wazi kua mechi hii hua inawanufaisha matumbo yao mana ndio siku ya kupiga hela..
NYIE WENYE AKILI SI MPO?? MBONA HAMUIUI?
 
Back
Top Bottom