Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kufuatia kile ambacho kimetokea usiku wa wa jana kwa Simba SC kuzuiwa kufanya mazoezi katika Uwanja wa Mkapa, na kueleza hawatashiriki mchezo wa Dabi ya dhidi ya Yanga SC.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Mzee Steven Mguto ambaye amefunguka kwamba kamati ya usimamizi na uendeshaji wa Ligi Kuu inakutana asubuhi hii kujadili malalamiko ya Simba.
Credit: EFM Tanzania
Pia, Soma
Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Mzee Steven Mguto ambaye amefunguka kwamba kamati ya usimamizi na uendeshaji wa Ligi Kuu inakutana asubuhi hii kujadili malalamiko ya Simba.
Credit: EFM Tanzania
Pia, Soma