Bodi ya Ligi yaitisha kikao cha dharura kujadili malalamiko ya Simba SC na kususia mechi ya dabi

Bodi ya Ligi yaitisha kikao cha dharura kujadili malalamiko ya Simba SC na kususia mechi ya dabi

Attachments

  • FB_IMG_17414179860251066.jpg
    FB_IMG_17414179860251066.jpg
    302.4 KB · Views: 2
Mtaji wa ccm mjinga mwingine huyu, badala ku address tatizo lililotokea na hatua stahiki za kuchukua, yeye anasisitiza kuchezwa kwa mechi, kwa mana ya kwamba inajulikana wazi kua mechi hii hua inawanufaisha matumbo yao mana ndio siku ya kupiga hela..
Sasa unafanya ni humu kama sio unafiki kama mtoto wa kike sitaki nataka nyingi, upo kwenye thread zaidi ya kumi za michezo unafuata nini wakati majukwaa ya siasa yapo. Unakuwa kama wanafiki wanaochukia nyama ya nguruwe huku mchuzi wake ukiutamani.

Kuna majukwa kibao wewe mwenye ,shobo zako zimekufanya uchague jukwaa hili la michezo kila uzi upo si uende majukwaa ya siasa,na sio hizi sitaki na taka kama binti huku ukiwa na unafiki mwingi.
 
Sasa unafanya ni humu kama sio unafiki kama mtoto wa kike sitaki nataka nyingi, upo kwenye thread zaidi ya kumi za michezo unafuata nini wakati majukwaa ya siasa yapo. Unakuwa kama wanafiki wanaochukia nyama ya nguruwe huku mchuzi wake ukiutamani.

Kuna majukwa kibao wewe mwenye ,shobo zako zimekufanya uchague jukwaa hili la michezo kila uzi upo si uende majukwaa ya siasa,na sio hizi sitaki na taka kama binti huku ukiwa na unafiki mwingi.
Ng'ombe hiyo achana nae, hata hela ya chai hana kutwa kuilaumu ccm
 
Nimepitia mjadala huu kwa kina pamoja na kanuni ambazo wadau wameziwasilisha katika mitandao ya kijamii;
Maoni yangu ni kwamba kwa kuzingatia kanuni isemayo timu wageni wanayo haki ya kufanya mazoezi katika uwanja wa mwenyeji wa mchezo siku moja kabla ya mchezo, hili kwangu naona liko sawa. Siku moja kabla ya mchezo.
Mchezo huu kama nina kumbukumbu vizuri ni kwamba mchezo huo umepangwa kuchezwa leo tarehe 8/03/2025 saa moja na robo za usiku. Ni sawa. Simba walifika uwanjani siku ya tarehe 7/03/2025 saa moja za usiku, Wataalamu wa mahesabu kwa muda ambao Simba walifika uwanjani Je kulikua na masaa 24 kabla ya mcezo?
 
Simba inadeka sana
Simba imeenda na wahuni uwanjani, wakijidai ni makomandoo wa Yanga
Simba ni wachawi
Simba maneno mengi, uwezo kisoda
Simba ni kama Zuchu tu, wamekula nauli, wamekula ya kutolea na ghetto wamegoma kuja.
Simba na yanga zinaweza kukufanya ujikute unawadharau sana watu unaowaheshimu.Hata Simba nyamaume kajaa kwenye kumi na nane za wapumbavu.
 
Nimepitia mjadala huu kwa kina pamoja na kanuni ambazo wadau wameziwasilisha katika mitandao ya kijamii;
Maoni yangu ni kwamba kwa kuzingatia kanuni isemayo timu wageni wanayo haki ya kufanya mazoezi katika uwanja wa mwenyeji wa mchezo siku moja kabla ya mchezo, hili kwangu naona liko sawa. Siku moja kabla ya mchezo.
Mchezo huu kama nina kumbukumbu vizuri ni kwamba mchezo huo umepangwa kuchezwa leo tarehe 8/03/2025 saa moja na robo za usiku. Ni sawa. Simba walifika uwanjani siku ya tarehe 7/03/2025 saa moja za usiku, Wataalamu wa mahesabu kwa muda ambao Simba walifika uwanjani Je kulikua na masaa 24 kabla ya mcezo?
Nimemsikia mtangazaji akiuliza swali kwa mwenyekiti wa bodi kuwa kwavile Simba walishafanya mazoezi juzi kwenye uwanja huo hawakutakiwa kufanya tena mazoezi jana.

Hapa kupitia hili swali kama ni kweli Simba walifanya mazoezi kwenye huo uwanja sioni sababu ya wao kugoma kucheza mechi siku ya leo kwasababu sheria inasema angalau mara moja kabla ya siku ya mechi.
JamiiForums-936136243.jpg
 
Simba shikilia hapo hapo. Yanga imekuwa na mambo ya kihuni huni na wanajivunia sana uhuni wao. Ifike hatua wapate mavuno ya uhuni wao. Mkipeleka timu kwenye hili nitawasharau sana
 
Sasa unafanya ni humu kama sio unafiki kama mtoto wa kike sitaki nataka nyingi, upo kwenye thread zaidi ya kumi za michezo unafuata nini wakati majukwaa ya siasa yapo. Unakuwa kama wanafiki wanaochukia nyama ya nguruwe huku mchuzi wake ukiutamani.

Kuna majukwa kibao wewe mwenye ,shobo zako zimekufanya uchague jukwaa hili la michezo kila uzi upo si uende majukwaa ya siasa,na sio hizi sitaki na taka kama binti huku ukiwa na unafiki mwingi.
Hilo jamaa kama janamke, lipo kama sengesenge tu. Kila kitu linadandia halafu linaongea upumbavu tu
 
Simba inadeka sana
Simba imeenda na wahuni uwanjani, wakijidai ni makomandoo wa Yanga
Simba ni wachawi
Simba maneno mengi, uwezo kisoda
Simba ni kama Zuchu tu, wamekula nauli, wamekula ya kutolea na ghetto wamegoma kuja.
je ni mara ya kwanza watumishi wa Yanga kushambulia watu ? mbona ushabiki unawatoa akili kias hiki. mmepiga mpk mashabiki wenu , unashangaa nini kuhusu kuwazuia Simba kutoingia uwanja , Mashabiki wa Yanga wanaendeshwa na hisia kuliko akili

Yanga akishinda hakuna tatizo
ila Simba akishinda mara kabebwa mara anatumia uchawi
 
Kufuatia kile ambacho kimetokea usiku wa wa jana kwa Simba SC kuzuiwa kufanya mazoezi katika Uwanja wa Mkapa, na kueleza hawatashiriki mchezo wa Dabi ya dhidi ya Yanga SC.

Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu (TPLB) Mzee Steven Mguto ambaye amefunguka kwamba kamati ya usimamizi na uendeshaji wa Ligi Kuu inakutana asubuhi hii kujadili malalamiko ya Simba.
View attachment 3263192

Credit: EFM Tanzania

Pia, Soma
Hii nchi haina wasimamizi wa huu mpira, inasikitisha sana🚮🚮

Serikali uchaguzi wa TFF inabidi ifanye maarifa tupate viongozi wanaojielewa na si hawa wenye mihemko ya usimba na uyanga🚮🚮
 
Hii nchi haina wasimamizi wa huu mpira, inasikitisha sana🚮🚮

Serikali uchaguzi wa TFF inabidi ifanye maarifa tupate viongozi wanaojielewa na si hawa wenye mihemko ya usimba na uyanga🚮🚮
Unataka kusemq walipatikana kwa chafuzi kama waleee?
 
Unataka kusemq walipatikana kwa chafuzi kama waleee?
Hawa viongozi wa TFF waliingizwa kibabe na mzee Magu baada ya Mzee Malinzi kuundiwa zengwe, Mzee wa watu Magu mambo ya mpira alikuwa si kihivyo ila alipenda soka lipige hatua, sasa hawa waliwekwa na system yake ndiyo worst ever, kazi ku deal na fines na kufungia fungia wadau, zikija issues critical wanakimbia na kutia wadau hasara, hawa wadhamin sidhan kama wataendelea kuvumilia huu ujinga wa mpira wetu🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom