Bodi ya Mikopo hiki mlichotufanyia continuous ni nini?

Bodi ya Mikopo hiki mlichotufanyia continuous ni nini?

Foffana

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2022
Posts
861
Reaction score
1,547
Habari zenu Wakuu

Bodi ya mikopo leo imeanza kuallocate mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo kutoka vyuo mbali mbali

Inafahamika kwamba allocation ilivyokuwa mwaka jana mtu aliyepata kiasi cha chini ambao mostly 80% walipata hivo ni Tshs 2.7 Million kwa mwaka wa masomo

Yaani ada kila mwanafunzi alilipiwa 230,000 tu mwaka huu kutokana na bajeti iliyoandaliwa wameongeza kutoka 2.7 to 3.0 Million lakini hii haijatugusa Continuous matokeo yake Continuous 2,630,000 ni 70elfu pungufu ya mwaka jana waliyopokea Inshort Continuous wamepunguziwa 70elfu ukilinganisha na kiasi walichopokea mwaka jana

First year wa mwaka huu ada amelipiwa kiasi cha 530,000 huyu ndo wa kiwango cha chini

It is not fair kwa kwelii naona mmefanya hivi kwa kulenga uchaguzi wa 2025 yaani mmewaumiza Continuous ili kuonesha kwa hawa first year kuwa serikali inajali sana watu wake mpaka imepandisha kiasi kutoka 2.7M to 3.0M Shame on you
 
Jaribu kufikisha hoja yako bila kutumia hisia, itasaidia mtu akisoma afahamu vyema!

NB. Haya mambo ya mkopo kuna watu huwa yanawaumiza sana. Wahusika wajitathimini na kuchukua hatua
 
Habari zenu Wakuu

Bodi ya mikopo leo imeanza kuallocate mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo kutoka vyuo mbali mbali

Inafahamika kwamba allocation ilivyokuwa mwaka jana mtu aliyepata kiasi cha chini ambao mostly 80% walipata hivo ni Tshs 2.7 Million kwa mwaka wa masomo

Yaani ada kila mwanafunzi alilipiwa 230,000 tu mwaka huu kutokana na bajeti iliyoandaliwa wameongeza kutoka 2.7 to 3.0 Million lakini hii haijatugusa Continuous matokeo yake Continuous 2,630,000 ni 70elfu pungufu ya mwaka jana waliyopokea Inshort Continuous wamepunguziwa 70elfu ukilinganisha na kiasi walichopokea mwaka jana

First year wa mwaka huu ada amelipiwa kiasi cha 530,000 huyu ndo wa kiwango cha chini

It is not fair kwa kwelii naona mmefanya hivi kwa kulenga uchaguzi wa 2025 yaani mmewaumiza Continuous ili kuonesha kwa hawa first year kuwa serikali inajali sana watu wake mpaka imepandisha kiasi kutoka 2.7M to 3.0M Shame on you
Umejiandikisha kuirudisha serikali yako sikivu?
 
Hiyo 70 iliyopunguzwa ni faida kwako unapunguziwa deni pia, kwahiyo unakosa 70 kwa mwaka mzima ili uongezee?
Nipe mchanganuo kwa wewe hapa ungefanyaje

Jumla kiasi ulichopangiwa ni 2,630,000

Ada yako ni 1,500,000 serikali itakusponsor 230,000

Unaanza mwaka kuna 100,009 ya direct cost
Unatakiwa utenge pesa ya kodi na bills nyingine ndogondogo

Kuna ada hapo unatakiwa ulipe zaidi ya 600,000 kwa semester

Chakula,nauli n.k

Boom wanatoa 600,000 kila baada ya 2 months nipe mchanganuo na mawazo yako mkuu naweza kupata kitu
 
Back
Top Bottom