Bodi ya Mikopo hiki mlichotufanyia continuous ni nini?

Bodi ya Mikopo hiki mlichotufanyia continuous ni nini?

Habari zenu Wakuu

Bodi ya mikopo leo imeanza kuallocate mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo kutoka vyuo mbali mbali

Inafahamika kwamba allocation ilivyokuwa mwaka jana mtu aliyepata kiasi cha chini ambao mostly 80% walipata hivo ni Tshs 2.7 Million kwa mwaka wa masomo

Yaani ada kila mwanafunzi alilipiwa 230,000 tu mwaka huu kutokana na bajeti iliyoandaliwa wameongeza kutoka 2.7 to 3.0 Million lakini hii haijatugusa Continuous matokeo yake Continuous 2,630,000 ni 70elfu pungufu ya mwaka jana waliyopokea Inshort Continuous wamepunguziwa 70elfu ukilinganisha na kiasi walichopokea mwaka jana

First year wa mwaka huu ada amelipiwa kiasi cha 530,000 huyu ndo wa kiwango cha chini

It is not fair kwa kwelii naona mmefanya hivi kwa kulenga uchaguzi wa 2025 yaani mmewaumiza Continuous ili kuonesha kwa hawa first year kuwa serikali inajali sana watu wake mpaka imepandisha kiasi kutoka 2.7M to 3.0M Shame on you
Mabadiliko ya bodi ya mkopo huwa hayagusi wanafunzi wanaoendelea.
 
Mabadiliko ya bodi ya mkopo huwa hayagusi wanafunzi wanaoendelea.
Mwaka jana kulikuwa na mabadiliko kwa wanafunzi waliokuwa wanaendelea

Sisi Continuous tumetumika kama mbuzi wa kafara tu kupewa kiasi kidogo sana ili wale watakaokuja nyuma yetu ambao watakuwa ni karibu na uchaguzi mkuu waweze kuongezewa ionekane kama serikali sikivu haijui tu kuwa inawaumiza sana vijana
 
Habari zenu Wakuu

Bodi ya mikopo leo imeanza kuallocate mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo kutoka vyuo mbali mbali

Inafahamika kwamba allocation ilivyokuwa mwaka jana mtu aliyepata kiasi cha chini ambao mostly 80% walipata hivo ni Tshs 2.7 Million kwa mwaka wa masomo

Yaani ada kila mwanafunzi alilipiwa 230,000 tu mwaka huu kutokana na bajeti iliyoandaliwa wameongeza kutoka 2.7 to 3.0 Million lakini hii haijatugusa Continuous matokeo yake Continuous 2,630,000 ni 70elfu pungufu ya mwaka jana waliyopokea Inshort Continuous wamepunguziwa 70elfu ukilinganisha na kiasi walichopokea mwaka jana

First year wa mwaka huu ada amelipiwa kiasi cha 530,000 huyu ndo wa kiwango cha chini

It is not fair kwa kwelii naona mmefanya hivi kwa kulenga uchaguzi wa 2025 yaani mmewaumiza Continuous ili kuonesha kwa hawa first year kuwa serikali inajali sana watu wake mpaka imepandisha kiasi kutoka 2.7M to 3.0M Shame on you
Heri yenu mliopata chochote kitu
Kuna madogo last year walitemwa,mwaka huu as continuous students wametemwa Tena sijui maana kimya kikali huzuni tu
Sawa Mkuu
hl
 
😂
Mimi huwa nashangaa sana kwa BODI kuamua kuwapa mkopo zaidi wasio na uwezo wa kulipa ada huku wakijua kuwa walewale ndiyo hawana uwezo wa kulipa hiyo mikopo. Hiki kigezo siyo sawa hata kidogo. Baadaye BODI inalalamika eti waliopewa mikopo hawarudishi ili na wengine wapewe wakati sababu kubwa ya kutorudishwa mikopo wanaijua. Hii akili ya wapi sijui. Financial illiteracy!
labda ni scholarships za kificho
Wanazingua sana utasema wasio WA uwezo ndio walipa kodi pekee.
 
Heri yenu mliopata chochote kitu
Kuna madogo last year walitemwa,mwaka huu as continuous students wametemwa Tena sijui maana kimya kikali huzuni tu

hl
Batch ya mwisho ndo itawahusu
 
Nipe mchanganuo kwa wewe hapa ungefanyaje

Jumla kiasi ulichopangiwa ni 2,630,000

Ada yako ni 1,500,000 serikali itakusponsor 230,000

Unaanza mwaka kuna 100,009 ya direct cost
Unatakiwa utenge pesa ya kodi na bills nyingine ndogondogo

Kuna ada hapo unatakiwa ulipe zaidi ya 600,000 kwa semester

Chakula,nauli n.k

Boom wanatoa 600,000 kila baada ya 2 months nipe mchanganuo na mawazo yako mkuu naweza kupata kitu
Serikali inajitahidi ila saa nyingine tunaibebesha makosa ya wazazi wetu. Jukumu la kumsomesha mtoto ni la mzazi, Serikali inasaidia tu kutoa mkopo ili kuokoa jahazi hasa kwa wale ambo hawana wazazi. Unakuta mtu ana wazazi wote, badala ya wao kuchakarika ili ada ipatikane, wanailaumu Serikali kwa kutoa kiwango kidogo cha mikopo.
 
60k sio ya kulalamika hivi pambana
Inakatisha tamaa mkuu
Ada wanakulipia laki mbili na thelathini hapo mtu unakipengele cha kulipa 1.1 Million ya ada kutoka katika hilo hilo boom then wao wanapunguza tena 70k halafu hawa wa sasa wamewapandishia wanawalipia laki 5 kwa maana wao wenyew wameona haitoshi mpaka wakapandisha
 
Maisha ni magumu jamani tuache kudanganyana humu.
Huku tu mtaani Wazazi hao hao ni wagonjwa,wanasaidia ndugu kibao,mishahara ni hiyo hiyo miaka nenda rudi jamani
Serikali inajitahidi ila saa nyingine tunaibebesha makosa ya wazazi wetu. Jukumu la kumsomesha mtoto ni la mzazi, Serikali inasaidia tu kutoa mkopo ili kuokoa jahazi hasa kwa wale ambo hawana wazazi. Unakuta mtu ana wazazi wote, badala ya wao kuchakarika ili ada ipatikane, wanailaumu Serikali kwa kutoa kiwango kidogo cha mikopo.
sha
 
Back
Top Bottom