Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Hiyo ni dhana yako, kuna aina nyingi za kuandika fedhaFedha huandikwa kwa kutenga maelfu 2,300,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni dhana yako, kuna aina nyingi za kuandika fedhaFedha huandikwa kwa kutenga maelfu 2,300,000
Mabadiliko ya bodi ya mkopo huwa hayagusi wanafunzi wanaoendelea.Habari zenu Wakuu
Bodi ya mikopo leo imeanza kuallocate mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo kutoka vyuo mbali mbali
Inafahamika kwamba allocation ilivyokuwa mwaka jana mtu aliyepata kiasi cha chini ambao mostly 80% walipata hivo ni Tshs 2.7 Million kwa mwaka wa masomo
Yaani ada kila mwanafunzi alilipiwa 230,000 tu mwaka huu kutokana na bajeti iliyoandaliwa wameongeza kutoka 2.7 to 3.0 Million lakini hii haijatugusa Continuous matokeo yake Continuous 2,630,000 ni 70elfu pungufu ya mwaka jana waliyopokea Inshort Continuous wamepunguziwa 70elfu ukilinganisha na kiasi walichopokea mwaka jana
First year wa mwaka huu ada amelipiwa kiasi cha 530,000 huyu ndo wa kiwango cha chini
It is not fair kwa kwelii naona mmefanya hivi kwa kulenga uchaguzi wa 2025 yaani mmewaumiza Continuous ili kuonesha kwa hawa first year kuwa serikali inajali sana watu wake mpaka imepandisha kiasi kutoka 2.7M to 3.0M Shame on you
Mwaka jana kulikuwa na mabadiliko kwa wanafunzi waliokuwa wanaendeleaMabadiliko ya bodi ya mkopo huwa hayagusi wanafunzi wanaoendelea.
aaah!! lbda ila MUST nimeon kwa dg janja hawajabadilish kituMZUMBE,UDOM,UDSM,IAA,ARDHI hao wote wamewekewa kama nilivyosema
Heri yenu mliopata chochote kituHabari zenu Wakuu
Bodi ya mikopo leo imeanza kuallocate mikopo kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo kutoka vyuo mbali mbali
Inafahamika kwamba allocation ilivyokuwa mwaka jana mtu aliyepata kiasi cha chini ambao mostly 80% walipata hivo ni Tshs 2.7 Million kwa mwaka wa masomo
Yaani ada kila mwanafunzi alilipiwa 230,000 tu mwaka huu kutokana na bajeti iliyoandaliwa wameongeza kutoka 2.7 to 3.0 Million lakini hii haijatugusa Continuous matokeo yake Continuous 2,630,000 ni 70elfu pungufu ya mwaka jana waliyopokea Inshort Continuous wamepunguziwa 70elfu ukilinganisha na kiasi walichopokea mwaka jana
First year wa mwaka huu ada amelipiwa kiasi cha 530,000 huyu ndo wa kiwango cha chini
It is not fair kwa kwelii naona mmefanya hivi kwa kulenga uchaguzi wa 2025 yaani mmewaumiza Continuous ili kuonesha kwa hawa first year kuwa serikali inajali sana watu wake mpaka imepandisha kiasi kutoka 2.7M to 3.0M Shame on you
hlSawa Mkuu
😂😂😂InaumaBinafsi nashangaa kwanini wanalaum wangeshukur japo kwa kidg walichobahatika kupata. Wengine tumekosa kabsa na hatun matumain hata ya kwenda chuo kikuu na ni first year😔
labda ni scholarships za kifichoMimi huwa nashangaa sana kwa BODI kuamua kuwapa mkopo zaidi wasio na uwezo wa kulipa ada huku wakijua kuwa walewale ndiyo hawana uwezo wa kulipa hiyo mikopo. Hiki kigezo siyo sawa hata kidogo. Baadaye BODI inalalamika eti waliopewa mikopo hawarudishi ili na wengine wapewe wakati sababu kubwa ya kutorudishwa mikopo wanaijua. Hii akili ya wapi sijui. Financial illiteracy!
yeaah ni continuousNi continuous au?
n vile vile tu kak lbda ngj nikahakik nikirud home nikaangalie lbdaMUST nao vile vile tu aangalie MA aone kama ipo ile ile
Serikali inajitahidi ila saa nyingine tunaibebesha makosa ya wazazi wetu. Jukumu la kumsomesha mtoto ni la mzazi, Serikali inasaidia tu kutoa mkopo ili kuokoa jahazi hasa kwa wale ambo hawana wazazi. Unakuta mtu ana wazazi wote, badala ya wao kuchakarika ili ada ipatikane, wanailaumu Serikali kwa kutoa kiwango kidogo cha mikopo.Nipe mchanganuo kwa wewe hapa ungefanyaje
Jumla kiasi ulichopangiwa ni 2,630,000
Ada yako ni 1,500,000 serikali itakusponsor 230,000
Unaanza mwaka kuna 100,009 ya direct cost
Unatakiwa utenge pesa ya kodi na bills nyingine ndogondogo
Kuna ada hapo unatakiwa ulipe zaidi ya 600,000 kwa semester
Chakula,nauli n.k
Boom wanatoa 600,000 kila baada ya 2 months nipe mchanganuo na mawazo yako mkuu naweza kupata kitu
Sahihi kabisa. Halafu wakishindwa kukusanya mikopo hiyo wanapiga kelele nyingi tu!😂
labda ni scholarships za kificho
Wanazingua sana utasema wasio WA uwezo ndio walipa kodi pekee.
Inakatisha tamaa mkuu60k sio ya kulalamika hivi pambana
shaSerikali inajitahidi ila saa nyingine tunaibebesha makosa ya wazazi wetu. Jukumu la kumsomesha mtoto ni la mzazi, Serikali inasaidia tu kutoa mkopo ili kuokoa jahazi hasa kwa wale ambo hawana wazazi. Unakuta mtu ana wazazi wote, badala ya wao kuchakarika ili ada ipatikane, wanailaumu Serikali kwa kutoa kiwango kidogo cha mikopo.