The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Mwanasheria analipia muhuri, kwaiyo ule muuri wake ni kodi ya serikali hata kama haina risitiTuache uongo wakuu, sometimes ndio mana tunapopinga tunaonekana wapuuzi,
Kucertify vyeti toka lini ikawa ni pesa za serikali? Si tuna certify kwa wanasheria wetu mtaani huku buku tano cheti tena hii pesa haina risit wala haikatwi kodi