Bodi ya mikopo huu ni wizi au utapeli?

Bodi ya mikopo huu ni wizi au utapeli?

KAUCHEZEA

Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
29
Reaction score
15
kwa wale waliokosa mkopo kwa maneno haya ya kibaguzi yaliyotolewa na Bodi ya mikopo...COMPLETED F6 / DIPLOMA MORE THAN 3 YEARS AGO...maswali kwa Bodi kama ifuatavyo:-
(1) kwa nini hamkuweka kwenye vigezo na masharti kwa wanafunzi hawa kabla hawajaomba mkopo?

(2) je pesa zao sh 30000 watarudishiwa au ndo wametapeliwa?

(3) je bodi imefanya uchunguzi kama wanafunzi awa wanauwezo wa kujilipia?

(4) je mbona taasisi zinazotoa mikopo wanaweka vigezo na masharti ili anayeomba asisumbuke na asipoteze muda wake?

(5) Je Bodi ya mikopo inapingana na serikali katika mpango wa ELIMU YA WATU WAZIMA maana kundi hili lililobaguliwa ni watu wazima?

(6) je walimu mashuleni wanatosha maana wengine walionyimwa mkopo wamepangiwa kozi za ualimu?

(7) kwanini watoto wa matajiri wamepewa 100% kundi hili limenyimwa kabisa hawa hawafai kuwa wanafunzi?

(8) je maendeleo ya Elimu yapo kwa waliomaliza F6/Diploma kwa miaka ya hivi karibuni au kwa wote?

(9) Je utaratibu huu upo kisheria au Bodi na watu wake wamejiamria kuwabagua watanzania hawa

(10) je bila mikopo Elimu inapatikana? Tafakari chukua Hatua, Haki elimu
 
Tanzania tanzania nchi yenye mali nyingi watu wengi wa ulaya wanaililia sanaaaaa

Ngoja niimbee tu make nikifikilia sana nitapata na magonjwa ya moyo.
 
Ktk sheria ya mkopo iliandikwa kwa yeyote aliemalza fm6/diploma kuanzia mwaka 2012 kuja juu ndyo anaruhusiwa kuomba mkopo. Download criteria for loan
 
kwa wale waliokosa mkopo kwa maneno haya ya kibaguzi yaliyotolewa na Bodi ya mikopo...COMPLETED F6 / DIPLOMA MORE THAN 3 YEARS AGO...maswali kwa Bodi kama ifuatavyo:-
(1) kwa nini hamkuweka kwenye vigezo na masharti kwa wanafunzi hawa kabla hawajaomba mkopo?

(2) je pesa zao sh 30000 watarudishiwa au ndo wametapeliwa?

(3) je bodi imefanya uchunguzi kama wanafunzi awa wanauwezo wa kujilipia?

(4) je mbona taasisi zinazotoa mikopo wanaweka vigezo na masharti ili anayeomba asisumbuke na asipoteze muda wake?

(5) Je Bodi ya mikopo inapingana na serikali katika mpango wa ELIMU YA WATU WAZIMA maana kundi hili lililobaguliwa ni watu wazima?

(6) je walimu mashuleni wanatosha maana wengine walionyimwa mkopo wamepangiwa kozi za ualimu?

(7) kwanini watoto wa matajiri wamepewa 100% kundi hili limenyimwa kabisa hawa hawafai kuwa wanafunzi?

(8) je maendeleo ya Elimu yapo kwa waliomaliza F6/Diploma kwa miaka ya hivi karibuni au kwa wote?

(9) Je utaratibu huu upo kisheria au Bodi na watu wake wamejiamria kuwabagua watanzania hawa

(10) je bila mikopo Elimu inapatikana? Tafakari chukua Hatua, Haki elimu

wanatapatapa tu awana msaada bora bodi ibinafsishwe...
 
Mtoa mada uko sawa kabisa. Kuna jambo wamrfanya bila kufikiri kwa kina. Kumbyima mtu mkopo kwa kigezo eti kamaliza form six 2009 si jambo jema hata kidogo.

Wanachukulia kwamba mtu huyu atakuwa alishaajiriwa lakini kwa upande wangu wanakosea. Wengine hawana uwezo hata kidogo wa kuchangia ada wala malazi. Inabidi wapitie upya vigezo vyao.
 
acha zako mkuu walisema nukuu "eligible applicants are those who completed form six/diploma btn year 2012 to 2014"...kama kuna mtu alomaliza nje ya huo muda na amepata basi kimoyomoyo tamka hivi "usicheze na bahati ya mtu"
 
Nina mpango madhubuti na hii tanzania
 
Hawakufanya utapeli walisema before,kuna kipengele kiliandika hvy kama umemaliza zaidi ya miaka miwili basi hutakiwi kuomba mkopo
 
acha zako mkuu walisema nukuu "eligible applicants are those who completed form six/diploma btn year 2012 to 2014"...kama kuna mtu alomaliza nje ya huo muda na amepata basi kimoyomoyo tamka hivi "usicheze na bahati ya mtu"

Mkuu nilivomuelewa mtoa mada ni kuwa si kila aliyemaliza zamani ana uwezo wa kujilipia.Kigezo kingeendelea kuwa yeyote mwenye hitaji la mkopo awe na chance ya kuapply na kupewa loans
 
acha zako mkuu walisema nukuu "eligible applicants are those who completed form six/diploma btn year 2012 to 2014"...kama kuna mtu alomaliza nje ya huo muda na amepata basi kimoyomoyo tamka hivi "usicheze na bahati ya mtu"

Mbona kama hujalipa M-pesa sh. 35000 huwez ku apply, vivyo hivyo na kwa wale ambao hawana vigezo wasipate access ya ku apply...
 
Kuna watu wamemaliza miaka 3 nyuma bt hawakwenda chuo muda wote koz hawakua na uwezo kuanzia wakati huo mpka wakati huuu.

kuna walomaliza Mwaka huu wala kwenda chuo au kutokwenda kwao hakuamuliwi na bodies ya mkopo....kigezo kiwe uwezo Wa muombaji sio muda alomaliza
 
Back
Top Bottom