Bodi ya mikopo imepeleka Tsh bilioni 122.8 vyuoni

Bodi ya mikopo imepeleka Tsh bilioni 122.8 vyuoni

Then wanamaliza vyuo wanarudi mtaani kuendesha bodaboda,Kodi zetu ndo zimepotea hivo.
Case study pana wanandoa wote wamesoma kwa mkopo mmoja dokta, mwingine Mwalimu.
Mume kawa dereva taxi mke kafunguliwa saloon wameona mda unaenda ajira rasmi hakuna,means taaluma zao si tija kwao wameingia taaluma zingine ili maisha yasonge.Hapa pana zaidi ya milioni 20 Kodi yetu imepotea.
Hivi mfano hio pesa unaweza ukawalipia vijana si chini ya 100 wakapata elimu ya ufundi wakajiajiri tungesaidia Vijana wengi kuweza kupata taaluma kuliko kuwekeza kwa watu 2 ambao awazitumii.
Acha udwanzi. Hawa wakina Magufuli wenyewe wamesoma kwa kodi zetu ila hutakuja kuona hata siku moja stakabadhi ikionesha amerejesha pesa aliyosomea.

Huu haukutakiwa kuwa mkopo ulitakiwa uwe ufadhili. Mkopo hata bank inatoa
 
Acha udwanzi. Hawa wakina Magufuli wenyewe wamesoma kwa kodi zetu ila hutakuja kuona hata siku moja stakabadhi ikionesha amerejesha pesa aliyosomea.

Huu haukutakiwa kuwa mkopo ulitakiwa uwe ufadhili. Mkopo hata bank inatoa
Usikurupuke soma uelewe
 
Enzi za JK huu upuuzi wa kujisifusifu hata haukuwepo. Eti hela za mkopo nazo watu wanajisifuuuu
 
Then wanamaliza vyuo wanarudi mtaani kuendesha bodaboda,Kodi zetu ndo zimepotea hivo.
Case study pana wanandoa wote wamesoma kwa mkopo mmoja dokta, mwingine Mwalimu.
Mume kawa dereva taxi mke kafunguliwa saloon wameona mda unaenda ajira rasmi hakuna,means taaluma zao si tija kwao wameingia taaluma zingine ili maisha yasonge.Hapa pana zaidi ya milioni 20 Kodi yetu imepotea.
Hivi mfano hio pesa unaweza ukawalipia vijana si chini ya 100 wakapata elimu ya ufundi wakajiajiri tungesaidia Vijana wengi kuweza kupata taaluma kuliko kuwekeza kwa watu 2 ambao awazitumii.
Hawazitumii au hawatumiwi?
 
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema imeshapeleka Tsh Billioni 122.8 katika vyuo na taasisi za elimu 81 kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi.

Imesema wanafunzi wanaostahili kupata mikopo kwa mwaka wa masomo 2019/2020 ni 132,119, fedha wanazopewa ni kwa ajili ya malazi, posho na ada na kufafanua kuwa fedha za malazi na posho ni za siku 60 kuanzia Juni Mosi hadi Julai 30, 2020.

Hatua hiyo imekuja baada ya Rais John Pombe Magufuli alitangaza kufungua vyuo kuanzia Juni 1 na aliwapa siku tisa za kujiandaa ili kusiwe na changamoto kwa wanafunzi na vyuo wakisharudi shuleni.

Rais ameruhusu wanafunzi wa vyuo na wanafunzi wa kidato cha sita kuendelea na masomo akisema kuwa ni watu wazima ambao wanaweza kujichunga dhidi ya #CoronaVirus.

RIBA KWA KWENDA MBELEE
 
Mimi kama mzazi nimefurahi sana kwa punctuality ya serikali maana nilikuwa nawaza hela ya mtoto kuanzia maisha mpaka boom litoke.
 
Back
Top Bottom