myself scenario
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 347
- 213
Kama tittle inavyo someka,hawa wanachuo waliambiwa watapewa mkopo na wakatuma maombi online pia hard copies zikatumwa bodi ya mikopo, tangu mwezi wa pili kimya na hakuna taarifa yoyote..dah noma kweli