Wakuu kwa mwaka huu utakuwa msiba mkubwa kwa wanafunzi wengi watakaojiunga vyuo mbalimbali kwani wengi walijaza kwa kuangalia watangulizi wao na sio kozi gani zenye kipaombele, kuna kozi kama B com zote, Bba, socialogy,PSPA, na zote za social science hakuna mkopo kabisa kwani bora hata wangepata asilimia 0, wakati wale wa ualimu watapata mkopo usiozidi sh 500000 wengine wanaoangaliwa ni wale wanaochukua shahada za udaktari, phamacy na wale wa engineering kwa maana hiyo wale waliosoma kozi kama Hkl,HGL,HGE,HGK,EGM Hawatapata mkopo kama hawataki kwenda ualimu kwa maana hiyo waende ualimu wenyewd hata kama ufaulu ni wa daraja la kwanza na point 3. Hakika huu utakuwa ni msiba kwa watoto wengi wa wakulima kwani ndio kozi wanazokimbilia
nawasilisha!
Wakuu kwa mwaka huu utakuwa msiba mkubwa kwa wanafunzi wengi watakaojiunga vyuo mbalimbali kwani wengi walijaza kwa kuangalia watangulizi wao na sio kozi gani zenye kipaombele, kuna kozi kama B com zote, Bba, socialogy,PSPA, na zote za social science hakuna mkopo kabisa kwani bora hata wangepata asilimia 0, wakati wale wa ualimu watapata mkopo usiozidi sh 500000 wengine wanaoangaliwa ni wale wanaochukua shahada za udaktari, phamacy na wale wa engineering kwa maana hiyo wale waliosoma kozi kama Hkl,HGL,HGE,HGK,EGM Hawatapata mkopo kama hawataki kwenda ualimu kwa maana hiyo waende ualimu wenyewd hata kama ufaulu ni wa daraja la kwanza na point 3. Hakika huu utakuwa ni msiba kwa watoto wengi wa wakulima kwani ndio kozi wanazokimbilia
nawasilisha!
Wa2 wanachanganya mambo kama una div1 kwa mvulana na div1&2 kwa msichana unapata mkopo bila wacwac ila km una matokeo chini ya hapo na umedahiliwa hapo ndipo suala la vipaumbele huangaliwa maana yake hata kma una div3 but umekuwa admitted kwenye hizo course zenye priority utapata mkopo kwa viwango walivyoanisha suala la priority litakuja km huna matokeo niliyotaja hapo juu huo ndio ufafanuzi niliopata toka ofisi za bodi
Tatizo watanzania,nyerere aliwalea kwa kuwadekeza sana,iweje mtu atake kuoa achangiwe zaidi ya 20milions,alafu mtu atake kusoma elimu ya juu tushindwe kuchangishana?inabidi tukumbuke kwamba dunia ya leo ni tofauti na dunia ya miaka 50 iliyopita,sio mtu anazaa watoto 10 ategemee eti serikari itawasomesha,inabidi mzazi ajipange hata kabla mtoto hajazaliwa,amwandalie budget ya kumsomesha tangu nursery mpaka chuo kikuu,serikari ina uamuzi wa kufadhili makundi ya watu itakao ona wana uhitaji kwa taifa kama madaktar,engineers,walimu na kilimo.hzo kozi zingne kama mtu anataka kuzisoma ajigharamikie mwenyewe bana,na ikumbukwe kwamba tanzania ya sasa ni sawa na iko kwenye mfumo wa uchumi wa kibepari ambapo mambo mengi ya kimaendeleo kama elimu yanafanywa na wananchi wenyewe na serikari inabaki kuwa msimamizi tu.ebu jaribuni kutembelea baadhi ya nchi kama kenya,uganda nk muone kama mikopo ya elimu ya juu inatolewa ovyo ovyo kama hapa tanzania inavyofanyika sasa,kule kwa wenzetu mikopo inatolewa kwa kozi ambazo serikari inaona zna uhitaji kwa mataifa yao.
Nikurekebishe kidogo kwenye koz za education upande wa arts bodi inasema watapata mkopo "of not less than 50%" maana yake usiopungua asilimia hamsini, Sasa wewe unasema "of not more than 50%" usiozid asilimia hamsini. Hakuna kitu kama hicho hebu kasome vizuri Guidelines and criteria.
Nafikiri si sawa kuomba course kwa sababu tu mtu atapata mkopo, hebu kila mtu asome kitu anachoona ndo kitamfikisha kwenye ndoto zake--
mi naona 2ngepewa 2 angalau 0% ya accomodation then ada 2jilipie wenyewe maana ada ni ya kawaida haina shida! Shida ipo kwenye ela ya ku2mia!
Angalau wange equalize wa2 wote wapate zero then wajilipie wenyewe ada kuliko kuwapa wa2 100%, 90% wakati wengine no loan at all! Hii ingeleta usawa na kuondoa mambo ya usayansi¡,
cku hzi wa2 wanasoma kuangalia mkopo na cyo kile wanachokiweza!
Heslb inabdi kuangalia hlo, maana mkopo ni kwa ajili ya watanzania waciojiweza na cyo kwa wanafunzi wa sayansi!
Kaka nakubaliana na wewe lakini najaribu kuona namna kesho yetu itakavyokuwa na watu wenye elimu kubwa kwa fani wasizozipenda na wala hawana wito nazo, mfano wewe na biashara kama fani yako pendwa uende kupigisha watoto shule lazima elimu yetu ishuke sababu najua ni lazima utatamani hiyo shule uieguze biashara ili utimize ndoto zako--Unachokisema ni kweli,lakini kumbuka tatizo ni Pesa. Hakika mimi mwenyewe kama sio wafadhili wa nje na ndani walinisaidia,pengine hata elimu ya form 4 nisingeipata kama alivyoikosa dada yangu. Siwezi kulaumu sana,lakini hali ya wazazi ndivyo ilivyo. Nilihitimu form 6 mwaka jana,ilinilazimu kukaa mtaani mwaka mzima kwa kukosa mkopo baada ya kuchaguliwa program ya biashara ambayo ndiyo lilikuwa tamanio langu. Mwaka huu imenilazimu kuomba education ili nipate loan,nikiona vipi baadae ntabadili.
Kaka nakubaliana na wewe lakini najaribu kuona namna kesho yetu itakavyokuwa na watu wenye elimu kubwa kwa fani wasizozipenda na wala hawana wito nazo, mfano wewe na biashara kama fani yako pendwa uende kupigisha watoto shule lazima elimu yetu ishuke sababu najua ni lazima utatamani hiyo shule uieguze biashara ili utimize ndoto zako--
mkuu kama unavyoelewa hali halisi ya tz kwa sasa!! ni ngum sana kuwafinance watu wote...na wanachotaka sasa ni kuchek zile areas ambazo hatuna wataalam wa kutosha mf engineers,wanakilimo,teachers, na madokta!!! sio kwamba wanapenda iwe hivyo ila ndo hali halisi...serikali imefulia...mi naona 2ngepewa 2 angalau 0% ya accomodation then ada 2jilipie wenyewe maana ada ni ya kawaida haina shida! Shida ipo kwenye ela ya ku2mia!
Angalau wange equalize wa2 wote wapate zero then wajilipie wenyewe ada kuliko kuwapa wa2 100%, 90% wakati wengine no loan at all! Hii ingeleta usawa na kuondoa mambo ya usayansi¡,
cku hzi wa2 wanasoma kuangalia mkopo na cyo kile wanachokiweza!
Heslb inabdi kuangalia hlo, maana mkopo ni kwa ajili ya watanzania waciojiweza na cyo kwa wanafunzi wa sayansi!
well said!!!kaka umetumia kigezo gani kupima uwezo wa kila mtanzania aliyeomba hii mikopo? Naamini hukushirikisha ubongo wako vyema. Kwa taarifa yako ni kwamba,mimi binafsi kama sio misaada niliyoipata,hata elimu ya form 4 nisingeipata. Sasa leo unashauri kwamba tupewe tu ela ya matumizi,na hii ada ya mil 1.6 mtu kama mimi ntaipata wapi? Na sio mimi pekee,naamini kuna watanzania wengine kama mimi. Naomba ukae tena chini,na uandike mambo yenye tija katika jamii,na sio kuangalia tu uwezo binafsi.