Bodi itatoa mkopo kwa zile kozi wanazohitaji na nazan kabla kutaka kuomba mkopo bodi ilishauri mtu aangalie priority na non priority. Na kuhusu swali na kuzaa ni bora mtu apange uzazi wake kulingana na kipato chake na si kutegemea kila mtoto ana riski yake. But kwa upande mwengine wapo pia wazazi waliopata mtoto mmoja tu na bado wanashindwa kumsomesha elimu ya juu na hii ni kutokana na system mbovu ya uchumi ya nchi yetu ambao hauwezi kumsaidia mwananch wa kawaida licha ya kauli mbiu ya Taifa ya maisha bora kwa kila Mtanzania