Hello Wanajamvi.. Habari zenu..
Mimi nataka Kuulizia Kuhusu Bodi ya Mikopo je wanaanza Lini kutuma Maombi kwa Njia Ya Mtandao. Mana Kuna Mwanajamvi niliona Amesema Wameshaanza Kuapply toka Tarehe 2 mwezi huu. Ila nilipoingia Kwenye Website yao OLAS naona Hakuna Kitu
Kuna Mwenye Information zaidi anisaidie na kwa Faida ya Wengine pia
Mimi nataka Kuulizia Kuhusu Bodi ya Mikopo je wanaanza Lini kutuma Maombi kwa Njia Ya Mtandao. Mana Kuna Mwanajamvi niliona Amesema Wameshaanza Kuapply toka Tarehe 2 mwezi huu. Ila nilipoingia Kwenye Website yao OLAS naona Hakuna Kitu
Kuna Mwenye Information zaidi anisaidie na kwa Faida ya Wengine pia