Bodi ya Mikopo Tanzania (HESLB)

Bodi ya Mikopo Tanzania (HESLB)

Rangoo

Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
99
Reaction score
114
Hello Wanajamvi.. Habari zenu..

Mimi nataka Kuulizia Kuhusu Bodi ya Mikopo je wanaanza Lini kutuma Maombi kwa Njia Ya Mtandao. Mana Kuna Mwanajamvi niliona Amesema Wameshaanza Kuapply toka Tarehe 2 mwezi huu. Ila nilipoingia Kwenye Website yao OLAS naona Hakuna Kitu

Kuna Mwenye Information zaidi anisaidie na kwa Faida ya Wengine pia
 
Back
Top Bottom