mkuu hapo usitegemee tutaanza zilizokatwa zikajibiwa na kupewa majibu. Hapo andikeni imekula kwenu sababu hakuna fursa hata moja hawa bodies wakaleta majibu. Ile ni mradi wa mabosi wa bodies kujipatia buku 5 kwa kila mlalahoi.
haya bhana,,ila ccm saiz atutaki ujinga bwana,,mtu yeyote anayeludisha jitiada za chama,,anapigwa chin tu,,ata mkurugenzi wa bodi,,kiama kitamkuta sio muda mrefu,,chama saiz akitaki utani