Bodi ya mikopo wekeni wadaiwa sugu majina yao na vyuo vyao, kama nyie sio wezi wa pesa ya mikopo?

Bodi ya mikopo wekeni wadaiwa sugu majina yao na vyuo vyao, kama nyie sio wezi wa pesa ya mikopo?

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Mpaka pale Board ya mikopo itakapo chapisha majina ya hao wadaiwa sugu na mwaka waliomaliza na chuo walichosoma na digrii walizosoma, ndo tutaamini hawakua mafisadi

Kuna taarifa kuwa walikuwa wakitoa mikopo hewa kwa wakopaji hewa zikiingia mifukoni mwao

Waweke list ya hayo majina na kiasi wanachodaiwa na ilete total ya hiyo pesa wanadai.Sababu kila jina na kiasi anadaiwa ukijumlisha lazima ilete hiyo jumla, eti fichuwa wadaiwa sugu wanatuona sie wajinga!!!

Wanaogopa kuweka bayana kwa sababu wanajua wana majina hewa wali create na kuyapa mikopo iliyoingia mifukoni mwao Kusema tu watu wafichue ni utapeli,

Wekeni wazi taarifa zao zote kwenye magazeti na Vyombo vya habari ikiwemo website yao, madaiwa sugu hawana faragha mpaka pale atakapo anza kulipa deni.

Pia soma==>> Tusaidiane kufichua wadaiwa sugu wa Bodi ya mikopo
 


Labda updated list ndio hawajaweka
 


Labda updated list ndio hawajaweka
Mkuu hiyo list ya 2016 kipindi cha JPM ni miaka takribani 8 imepita hao bado ni wadaiwa sugu kweli?
 
Mkuu hiyo list ya 2016 kipindi cha JPM ni miaka takribani 8 imepita hao bado ni wadaiwa sugu kweli?
Hawa wengine bado hawajapata kazi na bado sio Sugu kulinganisha na hao wa 1995 huko
 
Hawa wengine bado hawajapata kazi na bado sio Sugu kulinganisha na hao wa 1995 huko
Unajua wangapi walisha fariki, hiyo lisi inatakiwa kua updated kila miazi mitatu, kuna wengine walisha maliza madeni wengine wanafariki wengine nje ya nchi, ila tu kwasbb wanaogopa transparancy kwasbb ya mahovu yao wanajifucha kwenye list ya zamani.
 
Unajua wangapi walisha fariki, hiyo lisi inatakiwa kua updated kila miazi mitatu, kuna wengine walisha maliza madeni wengine wanafariki wengine nje ya nchi, ila tu kwasbb wanaogopa transparancy kwasbb ya mahovu yao wanajifucha kwenye list ya zamani.
Uko sahihi mkuu
 
Wekeni wazi taarifa zao zote kwenye magazeti na Vyombo vya habari ikiwemo website yao, madaiwa sugu hawana faragha mpaka pale atakapo anza kulipa deni.
Umesema ukweli
 
Mpaka pale Board ya mikopo itakapo chapisha majina ya hao wadaiwa sugu na mwaka waliomaliza na chuo walichosoma na digrii walizosoma, ndo tutaamini hawakua mafisadi

Kuna taarifa kuwa walikuwa wakitoa mikopo hewa kwa wakopaji hewa zikiingia mifukoni mwao

Waweke list ya hayo majina na kiasi wanachodaiwa na ilete total ya hiyo pesa wanadai.Sababu kila jina na kiasi anadaiwa ukijumlisha lazima ilete hiyo jumla, eti fichuwa wadaiwa sugu wanatuona sie wajinga!!!

Wanaogopa kuweka bayana kwa sababu wanajua wana majina hewa wali create na kuyapa mikopo iliyoingia mifukoni mwao Kusema tu watu wafichue ni utapeli,

Wekeni wazi taarifa zao zote kwenye magazeti na Vyombo vya habari ikiwemo website yao, madaiwa sugu hawana faragha mpaka pale atakapo anza kulipa deni.

Pia soma==>> Tusaidiane kufichua wadaiwa sugu wa Bodi ya mikopo
Ni wajanja wajanja
 
Niko Kabanga border Ngara njooni mnikamate
 
Ni wajanja wajanja
Kama wameshindwa tender waitowe kwa private company, hao wa kusanya madeni ya benki auction mart wapewe 2% uone kama kuna pesa ambao itapotea.......hao watu wanajilinda tu walishapiga pesa ya ummah kwa mikopo hewa.
 
Back
Top Bottom