KERO Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) inaangamiza watumishi wa umma

KERO Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) inaangamiza watumishi wa umma

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

copyright

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
584
Reaction score
584
Salaam!
Ni jumanne iliyo njema sana.

Moja Kwa moja kwenye mada.
Bodi ya Mikopo (HESLB) imekuwa ikiwaangamiza watumishi wa umma ambao waliwahi kuwa wanufaika wao walipoamua kujiendeleza kielimu bila kuzingatia kanuni ya 1/3 (Moja ya Tatu) ya mshahara. Nimeshuhudia na/kuona watumishi wakipokea TSH 110000/= (Laki moja na Elfu Kumi tu) kama mshahara wa mwezi mzima.

Na Kwa namna nyingne wamekuwa wakiwakata watu ambao hawakuwahi kuwa wanufaika wa Mikopo yao na kusababisha usumbufu usio na sababu kwa watumishi hao, kwani hulazimika kwenda makao makuu ya HESLB kwa nauli na gharama zao pasipo kurudishiwa au kupewa pesa za usumbufu.

Hali hii haikubaliki na sio nzuri kwani inashusha ali katika kufanya kazi, inachochea sana watu kuchukia kazi zao, inaongeza ugumu wa maisha kwa watumishi wa umma na familia zao.

Ni wakati sasa Prof. Mkenda kufuatilia suala hili ili kusaidia maisha ya watumishi hawa wa umma pia Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo (HESLB) kutafuta mbinu nzuri ya kukata watumishi bila kuathiri moja ya tatu ya mshahara.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Ni hivi unakuta mtu tayari kashafika 1/3 ya mshahara wake kwakuwa alishakopaga kabla, ila bado Bodi nao wanaingiza makato yao hapo hapo. Nazungumzia Mikopo inayokatwa direct toka Hazina na sio ya uchochoroni
Sasa mkuu,
Mkopo ni 15%, unasemaje inaathiri 1/3, kinachotuangusha ni mikopo ya uchochoroni sio heslb, katika hili tuwe wakwel
 
Mwaka 2016/17 serikali ya magufuli iliwainguza kibabe..... Walilia na kulia hawakusikilizwa. Wengi wamemaliza madeni na wachache wanamalizia 2025!

Kama hujafikiwa na wajuba ukienda kukopa wabakishi Chao...... Muda wowote watapita makazini kusaka wadeni wao.

Naahidi kuwa sitajisalimisha mpaka wanipate.
 
Wengine wameanza kukatwa wakiwa Bado masomoni. Wakihoji wanaambiwa hawakustahili kupewa Ile mikopo kitu ambacho pengine kina ukweli. Swali nikwamba heslb hawana mfumo wa kutambua anayestahili na asiyestahili?

Wengine wameanza kukatwa wakiwa Bado masomoni. Wakihoji wanaambiwa hawakustahili kupewa Ile mikopo kitu ambacho pengine kina ukweli. Swali nikwamba heslb hawana mfumo wa kutambua anayestahili na asiyestahili?
Masomoni kivp kiongozi...fafanua..kwa maana ya aliyeenda kijiendeleza?
 
Wengine wameanza kukatwa wakiwa Bado masomoni. Wakihoji wanaambiwa hawakustahili kupewa Ile mikopo kitu ambacho pengine kina ukweli. Swali nikwamba heslb hawana mfumo wa kutambua anayestahili na asiyestahili?
Sure, na me nimeshuhudia watumishi watatu tofauti walioko masomoni wakipokea Tshs. 131,000 kwa mwezi baada ya kuanza kukatwa na HESLB Kabla hata ya kumaliza masomo. Nashauri wangewaacha wamalize masomo kwanza ndo waanze kuwakata
 
Salaam!
Ni jumanne iliyo njema sana.

Moja Kwa moja kwenye mada.
Bodi ya Mikopo (HESLB) imekuwa ikiwaangamiza watumishi wa umma ambao waliwahi kuwa wanufaika wao walipoamua kujiendeleza kielimu bila kuzingatia kanuni ya 1/3 (Moja ya Tatu) ya mshahara. Nimeshuhudia na/kuona watumishi wakipokea TSH 110000/= (Laki moja na Elfu Kumi tu) kama mshahara wa mwezi mzima.

Na Kwa namna nyingne wamekuwa wakiwakata watu ambao hawakuwahi kuwa wanufaika wa Mikopo yao na kusababisha usumbufu usio na sababu kwa watumishi hao, kwani hulazimika kwenda makao makuu ya HESLB kwa nauli na gharama zao pasipo kurudishiwa au kupewa pesa za usumbufu.

Hali hii haikubaliki na sio nzuri kwani inashusha ali katika kufanya kazi, inachochea sana watu kuchukia kazi zao, inaongeza ugumu wa maisha kwa watumishi wa umma na familia zao.

Ni wakati sasa Prof. Mkenda kufuatilia suala hili ili kusaidia maisha ya watumishi hawa wa umma pia Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo (HESLB) kutafuta mbinu nzuri ya kukata watumishi bila kuathiri moja ya tatu ya mshahara.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mfano mimi sikuwahi kupata mkopo nilisoma kwa kwa msaada wa wizara ya fedha (mof) nikashangaa nakatwa niliwafuata huko nikazingua mbaya wakarudisha kibunda.
 
Sure, na me nimeshuhudia watumishi watatu tofauti walioko masomoni wakipokea Tshs. 131,000 kwa mwezi baada ya kuanza kukatwa na HESLB Kabla hata ya kumaliza masomo. Nashauri wangewaacha wamalize masomo kwanza ndo waanze kuwakata
Duh hapo ni kaz kwel kweli walikuwa na mikopo bank?
 
Salaam!
Ni jumanne iliyo njema sana.

Moja Kwa moja kwenye mada.
Bodi ya Mikopo (HESLB) imekuwa ikiwaangamiza watumishi wa umma ambao waliwahi kuwa wanufaika wao walipoamua kujiendeleza kielimu bila kuzingatia kanuni ya 1/3 (Moja ya Tatu) ya mshahara. Nimeshuhudia na/kuona watumishi wakipokea TSH 110000/= (Laki moja na Elfu Kumi tu) kama mshahara wa mwezi mzima.

Na Kwa namna nyingne wamekuwa wakiwakata watu ambao hawakuwahi kuwa wanufaika wa Mikopo yao na kusababisha usumbufu usio na sababu kwa watumishi hao, kwani hulazimika kwenda makao makuu ya HESLB kwa nauli na gharama zao pasipo kurudishiwa au kupewa pesa za usumbufu.

Hali hii haikubaliki na sio nzuri kwani inashusha ali katika kufanya kazi, inachochea sana watu kuchukia kazi zao, inaongeza ugumu wa maisha kwa watumishi wa umma na familia zao.

Ni wakati sasa Prof. Mkenda kufuatilia suala hili ili kusaidia maisha ya watumishi hawa wa umma pia Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo (HESLB) kutafuta mbinu nzuri ya kukata watumishi bila kuathiri moja ya tatu ya mshahara.

Mungu Ibariki Tanzania.
Hivi kama mnufaika wa mkopo kutoka HESLB baada ya masomo ukaamua kujiajiri au ukafariki kuna namna Bodi inaweza kuwafanya wanufaika kulipa deni? Na je kwa upande wa waislam maana maiti kabla ya kuzikwa utaulizwa umma kama kuna mtu anamdai marehem je, kuna mikakati yeyote kufanya familia ya marehemu kulipa deni kwa dini zote?
 
Duh hapo ni kaz kwel kweli walikuwa na mikopo bank?
Ndio wana mikopo NMB/CRDB na wengi wao wanakopa kwaajili ya kujiendeleza maana uhakika wa kupata mkopo 100% wa HESLB huwa ni mdogo. Sasa, inatokea mwanafunzi anapata mkopo wa bodi akiwa mwaka wa pili huku mshahara wake una mkopo wa bank uliofikia ukomo wa 1/3 alafu bodi wanaingiza tena makato na bado mtumishi ana miaka miwili mbele ya kuhitimu masomo.
Changamoto sana hiyo
 
Back
Top Bottom