Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo maanake bado hajapewaKuna mwingine kaandikiwa hivi inasikitisha sana
Hii ni changamoto hasa kwa wanafunzi wanaotegemea mikopo hiyo kulipa adaMwanangu mwaka juzi alipata mkopo Bach one. Nikascreen shoot kabisa maandalizi yakafanyika akafika chuo.
Tobaaaa kuja kwenye harakati za usajiri system ya chuo inamkataa aimtambui kama mnufaika wa mkopo.
Kuja kuchungulia sipa yake Sasa mkopo Amna umefutwa tumekalibishwa dilisha la rufani nikasema ujinga huo sifanyi akuna rufani hapa.
Nb.bodi ndio tabia yao kiwanusishwa mikopo watoto wa watu then wanawakwapua juu kwa juu.
wawe na subira tulipo tuna kikao kifupi tumebaini hela tuliyowapa ilikuwa kimakosa nawengine wamecomfirm chuo zaidi ya kimoja,yaani leo anakomfirm chuo x baada ya siku tatu an uncomfirm kisha ana comfirm chuo y. na pia tanampango wa kuwapunguzia kiasi ili na wengine wote wapate kidogokidogoMnamo tarehe 28 Septemba bodi ya mikopo HESLB ilianza kutangaza waliopangiwa mkopo awamu ya kwanza yenye wanafunzi 21,509 wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025.
Kadhalika Bodi ya Mikopo ya Wanafurnzi wa Elimu ya Juu (HESLB) siku ya Jumatano (Oktoba 09, 2024) ilitangaza awamu ya pili ya orodha ya wanafunzi wenye sifa waliopangiwa mikopo na ruzuku kwa ajili ya mwaka wa masomo 2024/2025.
Kilichonishangaza ni baada ya kutembelea Chuo kimoja kilichopo jijini Dar es salaam na kukutana na mtu ambaye ni mtumishi hapo na kunieleza kuwa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB) wamefuta allocations walizokuwa wamezitoa kwa wanafunzi ambao walikidhi vigezo huku sababu ya kufuta allocations hizo ikiwa haijulikani na kuwaacha njiapanda baadhi ya wanafunzi wanaotegemea mikopo hiyo huku vyuo vikiwa vimeanza kufunguliwa.
Swala hilo likanifanya nitafute mwanafunzi ambaye alipangiwa mkopo ili kuthibitisha hilo na baada ya kuangalia account aliyotumia kuomba mkopo hivi ndivyo inavyoonekana.
Awali kabla ya hilo kutokea allocation yake ilikuwa ikionekana hivi
Mpaka sasa bodi ya mikopo hawajasema chochote juu ya jambo hili wakati ambao baadhi ya vyuo vikiwa vimefungua na usajili wa wanafunzi ukiendelea HESLB ni vema mkatoa ufafanuzi haraka sana.
uhuni sana nimeingia mzumbe kwa mdogo wangu eti wananiambia comfirm nikijaribu mfumo unaniambia nafasi imeshajaa kwa kozi hiyo, wakati kabla nilisha comform na admission letter nime-print pamoja na joining instuctUkiachana na allocation
kuna vyuo pia wanafunzi wanakuta kwenye account zao kua admission rejected
Hapo ashasukumiwa mtuuhuni sana nimeingia mzumbe kwa mdogo wangu eti wananiambia comfirm nikijaribu mfumo unaniambia nafasi imeshajaa kwa kozi hiyo, wakati kabla nilisha comform na admission letter nime-print pamoja na joining instuct
Kuna mwingine iliiandika hivyo kisha saivi inasema details not foundHuyo maanake bado hajapewa
Hii si sawauhuni sana nimeingia mzumbe kwa mdogo wangu eti wananiambia comfirm nikijaribu mfumo unaniambia nafasi imeshajaa kwa kozi hiyo, wakati kabla nilisha comform na admission letter nime-print pamoja na joining instuct
Issue Yako very sensitive anzishia thread mpya kabisa utapata wadau wa kukusaidia.Waheshimiwa mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa chuo cha tumaini dar es salaam ( TUDARCO) niliomba mkopo sijapata na nasoma course ya sheria na mpaka saivi nafikiria kuhairisha masomo kutokana na ugumu wa maisha nilikuwa naomba unisaidie japo ada tu ya chuo au nisaidie mawazo niweze kujua na nilipata division one