Bodi ya mikopo ya wanafunzi elimu ya juu wamefuta allocations za wanafunzi ambao walipangiwa mikopo 2024/25

Hii ni changamoto hasa kwa wanafunzi wanaotegemea mikopo hiyo kulipa ada
 
Daah pole sana kwa wanufaika, alafu ukute anasomea corse ya Management of social development hapo bora uende ukasomee ujuzi veta kuliko kuhangaika mwisho wa siku unaanza kukatiza mitaa ya posta na bahasha ya khaki.
 
wawe na subira tulipo tuna kikao kifupi tumebaini hela tuliyowapa ilikuwa kimakosa nawengine wamecomfirm chuo zaidi ya kimoja,yaani leo anakomfirm chuo x baada ya siku tatu an uncomfirm kisha ana comfirm chuo y. na pia tanampango wa kuwapunguzia kiasi ili na wengine wote wapate kidogokidogo
 
Ukiachana na allocation
kuna vyuo pia wanafunzi wanakuta kwenye account zao kua admission rejected
uhuni sana nimeingia mzumbe kwa mdogo wangu eti wananiambia comfirm nikijaribu mfumo unaniambia nafasi imeshajaa kwa kozi hiyo, wakati kabla nilisha comform na admission letter nime-print pamoja na joining instuct
 
Waheshimiwa mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa chuo cha tumaini dar es salaam ( TUDARCO) niliomba mkopo sijapata na nasoma course ya sheria na mpaka saivi nafikiria kuhairisha masomo kutokana na ugumu wa maisha nilikuwa naomba unisaidie japo ada tu ya chuo au nisaidie mawazo niweze kujua na nilipata division one
 
Issue Yako very sensitive anzishia thread mpya kabisa utapata wadau wa kukusaidia.
Pole Kwa changamoto issue unayopitia nami nilipitia miaka kadhaa nyuma lakini mungu ni mwema wadau walinishika mkono na chuo kiliisha salama kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…