Mchokozi wa mambo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 201
- 159
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu (HESLB) imetoa mwongozo wa utoaji mikopo mwaka 2021/22 ambao inatakiwa kila mwombaji anatakiwa utumie tarehe 02-04/07/2021 kuusoma na kuelewa na kisha mfumo wa maombi utafunguliwa tarehe 05/07/2021.
karibu hapa nimekuwekea pakua usome lakini pia ukiwa na swali lolote kuhusiana na taratibu zote uombaji uuliza nitakujibu.
karibu hapa nimekuwekea pakua usome lakini pia ukiwa na swali lolote kuhusiana na taratibu zote uombaji uuliza nitakujibu.