Bodi ya mikopo yatangaza rasmi wameachia majina ya wanafunzi na mikopo yao.

Kulala lazima umesema wewe!! pia kukesha mimi kwangu sio jambo la kushangaza ni kawaida tu, sa ka vp lala tu mkuu

Man NingaR una hasira na haya madude kinoma mkuu bt 4 real HESLB has to satsify our curiousity and the time is tonight.
 
Last edited by a moderator:
Man NingaR una hasira na haya madude kinoma mkuu bt 4 real HESLB has to satsify our curiousity and the time is tonight.

Wale ja
aa hawatabiriki unaweza shangaa tukakesha mpaka morning hamna kitu
 
Last edited by a moderator:
But mpaka kesho mchana kitakua kimeeleweka coz sa hv naona kuna members wawili online
 

mhh!kichwa kinauma..
 

hujawah kubak nyuma mkuu!
 
jamani NingaR,ze dudu nk mkeshe ila wakiweka tu na nyie myatupie humu. Mi game ikisha huku bernabeu nalala,nikiamka asubuhi break ya kwanza jf.
 
Last edited by a moderator:
Jamani heslb co! Mi nahisi kuna watu humu wameshajipatia degree za presha! Mi mwenyewe nahisi nna diploma saa hivi!
 
Now heslb;
we have 237 visitors online(including me) and 8 bots!
Hivi bots ni nini jamani?
 
Kwa mtindo huu kama kweli wanafunzi zaidi ya 4000 wamekosa mikopo ina maana watu wataweza kweli kuwalipia wanafunzi vyuoni? Hebu fikiria, mkopo hakuna, hostel hakuna afu unategemea wanadada wacjiuze ??
Nahisi kwa wetu huu ,,,, wa dada poa ( si kama nawatukana au kuwakashifu) nahisi watakuwa wengi mno!!
 
Wakubwa fanyeni kusubir wakiweka muya2pie jf nimechoka kichwa kizito xana man city wameniangusha mbaya,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…