Dimple Jerry
Senior Member
- Dec 18, 2012
- 118
- 11
naamin wote mu wazima,bodi ya mikopo imetoa taarifa kuwa watu waanze kuomba mikopo kwa mwaka wa na kwa wale wanaoendelea kuanzia tar 1 mei mpaka 30 juni.Mimi niliomba mwaka jana lakini sikupata naomba kwa yule anaefaham utaratibu ulivyo anielekeze ili niombe tena