Bodi ya Simba SC mmekiri mmewauza wanachama kwa miaka 3, wajibikeni

Bodi ya Simba SC mmekiri mmewauza wanachama kwa miaka 3, wajibikeni

Kipindi simba inafanya vizuri hali ilikuwa shwari leo hii MO amekuwa mtu mbaya kweli shukran ya punda mateke.
 
Katika maisha yangu, anayepinga jambo Huwa nampa attantion zaidi kuliko anayesifia. Kigwangala nilikuwa namuelewa Sana anachokilalamikia ila tu Kwa sababu Mo alikuwa ashawarubuni wajumbe na uzuri akachukua ubingwa waliomlalamikia wakaonekana wananongwa tu.
 
Haya tuchukulie kuwa MO ana matatizo ya ujanja au hata utapeli halafu kuna mjumbe wa bodi aliyeaminiwa na wanachama ambaye ni CPA (T) halafu yupo anaona madudu yote hayo ya Mo akaamua kukaa kimya kwa miaka 3+. Ghafla tu leo anaibuka kwenye vyombo vya habari bila aibu anasema kwa takribani miaka mitatu kuna matatizo Simba!

Swedi Mkwabi apewe maua yake kwa sababu yeye aliona madudu mapema na akajiuzulu lakini hao wapuuzi wakina CPA Masoud hawana cha kujitetea kwani wao ni sehemu ya hayo madudu yote wanayomuangushia Mo sasa hivi.
 
Mjumbe wa Bodi ya Simba SC CPA ISSA MASOUD akiongea na Waandishi wa habari Jana, amekiri kwamba shilingi bil. 20 alizoahidi mwekezaji Mohamed Dewij "Mo" hazijawahi kuwekwa popote Bali aligeuza fedha anazotoa Kwa matumizi ya kawaida (kununua mchicha, boxer na kandambili) ndo zihesabike kama uwekezaji wa 20b.

Alichotushangaza zaidi ni pale aliposema Jambo hili wanalijua Kwa miaka 3 Sasa lakini wamekuwa wakitoa Taarifa ya Bodi kwenye mikutano mikuu kuonyesha Mambo ni shwari.

Akaenda mbali zaidi akasema hata usajili wa Wachezaji unafanyika Kwa kificho Bodi haijui na kwamba kuanzia Sasa hawataruhusu hilo maana Hali hiyo imesababisha kusajiliwa Kwa Wachezaji wasio na kiwango Bora cha kuchezea Simba SC.

Hoja yangu ni kwamba, Kwa nini Bodi hii hasa wajumbe waliochaguliwa na wanachama wamekubali Kwa miaka yote 3 kuwauza wanachama waliowachagua na kuungana na wajumbe wa upande wa Mwekezaji kutengeneza Taarifa feki na kuwasomea wanachama kwenye mikutano mikuu?

Kwa hali hii nini faida ya wanachama kuwa na wawakilishi kwenye Bodi kama nao wanaungana na mwekezaji "kudanganya" wanachama? Hata kama lengo ilikuwa kutunza Siri za Bodi, walitegemea kutunza Siri hii Kwa Muda gani?

Kwa hili wajumbe wa Bodi mliochaguliwa na wanachama mmewauza waajiri wenu, Wajibikeni.
Hatari sana.
 
Mjumbe wa Bodi ya Simba SC CPA ISSA MASOUD akiongea na Waandishi wa habari Jana, amekiri kwamba shilingi bil. 20 alizoahidi mwekezaji Mohamed Dewij "Mo" hazijawahi kuwekwa popote Bali aligeuza fedha anazotoa Kwa matumizi ya kawaida (kununua mchicha, boxer na kandambili) ndo zihesabike kama uwekezaji wa 20b.

Alichotushangaza zaidi ni pale aliposema Jambo hili wanalijua Kwa miaka 3 Sasa lakini wamekuwa wakitoa Taarifa ya Bodi kwenye mikutano mikuu kuonyesha Mambo ni shwari.

Akaenda mbali zaidi akasema hata usajili wa Wachezaji unafanyika Kwa kificho Bodi haijui na kwamba kuanzia Sasa hawataruhusu hilo maana Hali hiyo imesababisha kusajiliwa Kwa Wachezaji wasio na kiwango Bora cha kuchezea Simba SC.

Hoja yangu ni kwamba, Kwa nini Bodi hii hasa wajumbe waliochaguliwa na wanachama wamekubali Kwa miaka yote 3 kuwauza wanachama waliowachagua na kuungana na wajumbe wa upande wa Mwekezaji kutengeneza Taarifa feki na kuwasomea wanachama kwenye mikutano mikuu?

Kwa hali hii nini faida ya wanachama kuwa na wawakilishi kwenye Bodi kama nao wanaungana na mwekezaji "kudanganya" wanachama? Hata kama lengo ilikuwa kutunza Siri za Bodi, walitegemea kutunza Siri hii Kwa Muda gani?

Kwa hili wajumbe wa Bodi mliochaguliwa na wanachama mmewauza waajiri wenu, Wajibikeni.
Screenshot_20240609_162501_Instagram.jpg
 
Kwangu mm naona wanapata hela zisizo na jasho plus strip zinazogharimiwa na account ya simba ndio maana hata sasa hawapo baada ya kuchuma hela ya kutosha
 
Haya tuchukulie kuwa MO ana matatizo ya ujanja au hata utapeli halafu kuna mjumbe wa bodi aliyeaminiwa na wanachama ambaye ni CPA (T) halafu yupo anaona madudu yote hayo ya Mo akaamua kukaa kimya kwa miaka 3+. Ghafla tu leo anaibuka kwenye vyombo vya habari bila aibu anasema kwa takribani miaka mitatu kuna matatizo Simba!

Swedi Mkwabi apewe maua yake kwa sababu yeye aliona madudu mapema na akajiuzulu lakini hao wapuuzi wakina CPA Masoud hawana cha kujitetea kwani wao ni sehemu ya hayo madudu yote wanayomuangushia Mo sasa hivi.
Namuunga mkono.
 
Back
Top Bottom