Body Exercise

Uchumi wako uko flesh mkuu...kula samaki ,nyama ,matunda kama mlo sio kazi ndogo lazima utumie budget ya maana
Kwa hyo kula wali,ugali na chipsi ndyo uchumi wako uko vibaya?
 
Kwa hyo kula wali,ugali na chipsi ndyo uchumi wako uko vibaya?
Kula ugali ,wali kunabana matumizi...mfano samaki za kula na kushiba unaweza kununua kuanzia elf 5 wakati wali au ugali wa elf 5 unakula week nzima..

Ndio maana kwenye chakula mboga zinakuwa chache sababu huwa ni expensive
 
Kula ugali ,wali kunabana matumizi...mfano samaki za kula na kushiba unaweza kununua kuanzia elf 5 wakati wali au ugali wa elf 5 unakula week nzima..

Ndio maana kwenye chakula mboga zinakuwa chache sababu huwa ni expensive
Labda upo sahihi!! Mi ni nipo mwanza ...nikinunua nyama nusu sh 3000 na maparachichi mawili kwa elfu moja then elfu moja iliyobaki naweza nunua nyanya kwa ajili ya kachumbari au maziwa so closed budget kwa siku ni hyo hyo 5000
 
naona watu wanajifariji uko juu kitu msichojua ni kuwa siku mkiishiwa nguvu hamuwezi ata kufanya mazoezi ndio mtajua usumbufu wa iyo miili chukulia umeanguka na uwo mwili mpaka watu waitane na kukubeba ni majariwa tu lakini kama una mwili wa kawaida ata mtu mmoja anakubeba faster bila kusumbua wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…