Body Language Akinadada Tafadhali Tujuzeni



PJ, nimeukubali huu mchanganuo wako!
 
duh pole ferds ila nahisi huyo dada alikuzid umri bwana au nakosea
 
Jamani mi ctaki mwajua mtanifanya niseme yasofaa ati......... maana nilichokisema mwanzo ni kwa wale waliobarikiwa kuwa pamoja under one roof........... kwa wakuibia jamani body language ni muhimu...hebu imagine mama mwenye nyumba akiwa anataka toka kwa shemejiye?? au shamba boy??....wadhani atamwambia nataka?................ah bwana we hakawii kupiga ukelele kaona mende lakini ukelele wenyewe akitokea mlengwa ye anavua nguo!!! au kaona panya nyumba ya pili ye anadandia juu ya meza huku up.ja u wazi.....sasa hapa asiyejua body language atakazana kutafuta fagio aue mende pasipo kujua kuwa mende ni kisingizio tu ...........au mtu kapiga kelele za mende lakini ukifika wamkuta kainama kimtego akitetemeka kiuno tu..............mi ctaki
 
hahha hahah amechoka?
na joto ili la dsm?
mmh aya
mbona kajisahau leo tu na leo mchana tuligombana?
Rose naomba mimi nikuulize hivi:

  1. Nipo na mdada na tumebaki kama tulivyozaliwa kitandani, lakini nikipeleka mkono wangu kuelekea kwenye mafiga ya nyuma hudai kuwa hapendi, lakini ukimwachia anageuka na kukupa mgongo huku ukipeleka vifaa vyako zero distance anatulia...! Kulikoni?
  2. ninatembea njiani, napishana na mdada, lakini baada ya kusalimiana na kupishana, nafika kama umbali wa mita 20+ na naangalia nyuma nakuta naye kageuka....!
  3. Kila nikikutana na mdada fulani lazima aniulize mke/GF wangu....!
  4. Kila nikitemebea naye mtaani na mbele ya watu, hujitahidi kunisogelea na mara nyingine huchukua mkono wangu ili tutembee tukishikana mikono...!
  5. Kila nikikutana na mdada fulani, na tukakaa kwa muda kupiga strory, mara nyingi hupenda kuanzisha story za mahusiano, kama ni sisi wawili tu; hasa kwa kunisingizia kuwa nipo na fulani, mara fulani, leo fulani....!
  6. Mdada nisiyewahi hata kumwambia nia yeyote, lakini akanipigia simu saa tano usiku, na akaishia kuwa alitaka kunisalimu tu.....!
 

MJ1 hujambo lakini........... hapo kwenye pink hapo ndio mie nnapotaka ........ maana
usipoelewa hizi alama za mwili saa nyingine unawezanuniwa wiki mzima, si unajua mlivyo na visa :lol: ............. mnakuwa mnaongea vizuri mmemaliza kula, mara unaona laundry
bag linatole nje na sabuni ..... ukiangalia muda saa nne usiku :thinking:
 
Sasa GFM..........una mpango wa kunifanya niongeze lenz ya miwani yangu eh? Font gani hii ya kuniwekea mtoto wa mwanaume mwenzio??

Pole mtoto wa mwenzangu ........nimekusona and will change it most urgently .....
 

Unapatikana wapi wewe unifunze maana nanihii hapa kilasiku anakuja na kitu kipya tu .......... mara leo kapatula kitandani
siku nyingine duka wazi lakini naambiwa do'nt touch :nono: ............ sasa nimelewa
 

hapo siku akili inapokuwa kwenyepesa ndio nataka kufahamu ishara zake jamaini ......
 
PJ nakubaliana na wewe 100% hizi alama za mwili zinakuwa kila siku............... Rose ana MJ1 sijui mnaweza tuandikia
ka-summary. Katatusaidia kukufanya muwe-happy na sisi pia!
 
Feds, na wewe ulisoma enzi zilie .......... maana unajikuta uko darasa moja na watoto wa kike waliopevuka ........
alafu hujui hizi ishara basi inakuwa taabu kabisa ..........
 

Rose, MJ1 msaada kwa Kichokoro hapa ......... mie huwa naishiaga tu kusema umependeza maana wengine
huwa hawataki kusikia kitu kingine ............ nilishaambiwa na jamaa mmoja akinadada huwa wanapenda kudanganywa
sijui kama kunaukweli hapo lakini:thinking:....... saamahani ladies hapa mie mjumbe tu :lying:
 

MJ1 ..now you'r talkin .......nilishawahibanwa na nurse mmoja I will never forget, tatizo nilikuwa kijana mdoga sana sijui kidato cha pili kila akitoka kazi lazima apitie nyumbani aongee na mama yangu halafu aniulizie na kuomba nimsaidi sijui kunyanyua kitu fulani nyumbani kwake. sasa humo ndani kwake ndio
ilikuw taabu maana hii body language ndio kwanza nilikuwa naisikia tu.......mwisho aliona I was no
show/ sielewi anaongea lugha gani .........akakat tamaa na kuhama mtaa ........ I am happy though :rip:
 
Hapo kwenye red huwa mnatukiriaje, duu coz napenda sana kutembelea bar, natafuta kisehemu kilichotulia nakaa
Bar ipi iyo Bibie ........ wateja wa valuer wapo wengi tu humu .......:smile-big:
 

inawezekana anatakakujua hali ya familia yako tu ndugu.......... mie naogopa kufanya-over interpretation
Afu namba za simu huwa hazitolewi ovyo .......... haswa kwa kinadada ambao hamna mahusiano au undugu
mzungu wa kike akikupa namba ya simu yake usipompigia unakesi ........ kama kakaa nje atakuwa kafikiria
na huku mambo ndio hivyo ............. MJ1 sijui nimepatia hapo ..... au bado nafeli mtihani .......
 
GFM acha mapenzi yaitwe mapenzi jamani.................. lakini ikumbukwe pia hata sie kina dada twapenda body language toka kwa wenzi wetu jamani.......niko jikoni nakuandalia mahamjumati we wajifanya wajakunywa maji....ukiniprick kiaina kwenye mbavu yatosha kunijuza kuwa leo kigudi chahitajika ati so mbiooo MJ1 ntakimbilia bafuni kuweka mahanjumati kama chachandu, kubadili mavazi ili mradi kuongezea chachandu..........

Kuna wengine wamejaliwa macho bibi so analinakshi kwa kungu na bidhaa nyingine mradi amjulia mwenzi wake............GFM usintafute ugomvi mie ctaki ati
 
Si ndo hapo sasa.............. ungeielewa lugha hii si ajabu ungeandika historia kaka yangu
 

Kichakoro na GFM ndo unapaswa uelewe kwa nini kamwacha Juma au John kakufuata weye kukuomba ushauri.......jiulize kama kuna incidencs nyingine awkward amehakufanyia kisha soma alama za nyakati jamani.................
 

MJ1 mngekuwa wepesi namna hiyo mbona tungekuwa na starehe sie watoto wa wenzenu... .... hafu mie na macho jamini ...:smiling: ivi wakati wa dendas huwa lazima kufumba macho? na wasiofumba waashiria nini :thinking:
.. hebu endelea kunifunza bibie najua siku zote hutaki .......siku mojamoja mtoto unaingia gea ......LOL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…